Hii picha imenihuzunisha sana

Hii picha imenihuzunisha sana

anti-Glazer

JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2023
Posts
291
Reaction score
484
Jamii imekengeuka sana

Kiongoz atakaye wathanini walimu Mnyezi Mungu atabariki sana
Screenshot_20230625-171544.jpg



Ni Kwa Nini kila kiongozi anayeshika nchi anajiunga na kundi la kudanganywa. Eti..

Walimu watajengewa nyumba. Mna uhakika na mnacho danganya? Nnani amesemma walimunnchi nzima wanaweza wakajengewa nyumba?

Nauli kutoka kwenye kamshahara.

Kodi za nyumba kutoka kwenye kamshahara?? Mbona maafisa wanapewa posho?? Kwan hawana mishahara?

Atokee basi mwenye huruma azingatie mahitaji ya walim wetu ni porojo tu zinawajaa.

Wapeni basi mikopo isiyo na riba mikopo ikifika halmashaur, inapigwa siasa. Ualimu unawatesa Sana walimu
 
All Government teachers should work under minimum stress, if they want to archieve their economic goals. No way out.
 
Maticha again

Hakuna mtu atakuja kupigania haki zako, nasema hayupo

Jipiganieni wenyewe kupitia vyama vyenu, mtapewa mnachotaka

Nyie endeleeni kuvaa mikadeti imepauka pauka balaa
 
Back
Top Bottom