Bouncer
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 344
- 248
Jamaa alikuwa ulaya akamtumia mama yake email:
"Mama nina UKIMWI"
Mama yake akajibu:
Usirudi kabisa kijijini mwanangu maana :-
Ukirudi wewe utamuambukiza mkeo,
Mkeo atamuambukiza kaka yako,
Kaka yako atamuambukiza hausigeli,
Hausigeli atamuambukiza baba yako,
Baba yako atamuambukiza dada yangu,
Dada yangu atamuambukiza mume wake,
Mume wake ataniambukiza mimi,
Mimi nitamuambukiza dereva wetu,
Dereva atamuambukiza dada yako,na dadako km unavyomjua atambukiza kjj kizima!je mko wangapi? vunja mtandao
"Mama nina UKIMWI"
Mama yake akajibu:
Usirudi kabisa kijijini mwanangu maana :-
Ukirudi wewe utamuambukiza mkeo,
Mkeo atamuambukiza kaka yako,
Kaka yako atamuambukiza hausigeli,
Hausigeli atamuambukiza baba yako,
Baba yako atamuambukiza dada yangu,
Dada yangu atamuambukiza mume wake,
Mume wake ataniambukiza mimi,
Mimi nitamuambukiza dereva wetu,
Dereva atamuambukiza dada yako,na dadako km unavyomjua atambukiza kjj kizima!je mko wangapi? vunja mtandao