Bombabomba
JF-Expert Member
- Dec 23, 2017
- 1,869
- 2,204
Mkuu Vipi mbona si kawaida yako kuyandika haya manenoAkija Rais Mkatoliki husikii malalamiko haya ....
Sent from my SM-G977B using JamiiForums mobile app
Mkuu Vipi mbona si kawaida yako kuyandika haya manenoAkija Rais Mkatoliki husikii malalamiko haya ....
Watangananyika mmegeuka waimba tarabu si Kwa mipasho hii Sisi tuliii twachapa kaziSera ya Nyerere ya kutuunganisha na Zanzibar ambayo raisi wa Zanzibar anakwenda China kuwauzia ardhi ya Tanganyika waliopewa kutunza ng'ombe kutoka Tanganyika kabla hawajawasafirisha kwenda Zanzibar kule Bagamoyo leo rais wa Zanzibar anakwenda kuingia ubia na nchi ya kigeni ardhi ya nchi nyingine ya Tanganyika..
Butiku haioni jinsi Nyerere ametuingiza watumwa wa wazanzibqri na Butiku alikuepo ktk sera hizo leo analalamika nini! Kosa waliofanya haioni?
Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Oooh... sorry! Siyo uandishi wangu huo. Nimekopi na kupesti kama nilivyoiona sehemu. Sijapunguza wala kuongeza, ndiyo maana nimetumia title ya kuuliza.Nimesoma mpaka pumzi imekata, uwe unaweka vituo, utatuua.
Kenyatta aliitaka, wakiwa kwenye mazungumzo Mwl akamuwahi.Mnaonaje Zanzibar tuwape Kenya?
Maana mmezidi kwa vijembe
Umewachuria Wakristo?Rais Muislamu hafi madarakani wala nje ya madaraka
Exactly,haya majitu yana ubaguzi sanaAkija Rais Mkatoliki husikii malalamiko haya ....
Ndio ukweli. Rais gani mkristo bado tupo?
Bakili ulibwanji... Kwa maana nyingine Watz tusichague marais Wakristo kwa sababu hawadumu[emoji3578]Ndio ukweli. Rais gani mkristo bado tupo?