Hii ni Telaviv? Kama Gaza!!

Hii ni Telaviv? Kama Gaza!!

Endeleeni kujifurahisha, mlianzia Gaza, Mkaja Lebanon, Mkaenda kwa Asad , tupo Iran. Kote mlikuwa na matumaini na mlikuwa mnajipa moyo. Ivi huwa mnawaza nini? Yani pigo la siku moja limeondoka na top layer ya jeshi lote la Iran bado unaendelea kujisifu?

Nionyeshe viongozi wa hamas mliokuwa mnawasifia? Nionyeshe viongozi wa Hezbollah waliokuwa wananyanyua modomo? Nionyeshe viongozi wa juu wa jeshi la Iran. Yan kama siku moja tu inaondoka na layer ya juu vipi mwaka.

Tusishabikie vita. Iran hana intelijensia yoyote ya maana kuiharibu israel. Yeye anatupa tu mawe yasiyokuwa na mpango. Akae mezani asijepewa kichwa kama Saadam kumbe hola.

Vita ni pesa

Vita ni techolojia
 
mnaanzaga hivihivi baadae utasikia wanauwa watoto na akina mama
Kwani sisi tuna vita bongo ama wanaopigana ni jirani zetu?
Ukifuatilia mambo ya dunia hii vizuri wala hautapata shida na mihemko ya dini

Umeona Wabongo wanapigana nchi ngapi nje ya mipaka kisa udini?

Shabikia kama team za mpira tu hizi vita maana husaidii lolote huko

Mimi nimekaa sana nje, na ME nimekaa miaka 10 nazijua sana na sasa niko opposite kabisa na Waarabu
 
Endeleeni kujifurahisha, mlianzia Gaza, Mkaja Lebanon, Mkaenda kwa Asad , tupo Iran. Kote mlikuwa na matumaini na mlikuwa mnajipa moyo. Ivi huwa mnawaza nini? Yani pigo la siku moja limeondoka na top layer ya jeshi lote la Iran bado unaendelea kujisifu?

Nionyeshe viongozi wa hamas mliokuwa mnawasifia? Nionyeshe viongozi wa Hezbollah waliokuwa wananyanyua modomo? Nionyeshe viongozi wa juu wa jeshi la Iran. Yan kama siku moja tu inaondoka na layer ya juu vipi mwaka.

Tusishabikie vita. Iran hana intelijensia yoyote ya maana kuiharibu israel. Yeye anatupa tu mawe yasiyokuwa na mpango. Akae mezani asijepewa kichwa kama Saadam kumbe hola.

Vita ni pesa

Vita ni techolojia
Tumepokea maoni yako..
Sasa ukiwa kama myaudi wa kitanzania unanufaika vipi na vita vinavyoendelea huko tehran?
 
Jehova baada kuona ana pa kukimbilia mbele ya vijana wa Ayatollah kaona achutame tu mikono juuu!!! Ayatollah ndio mkubwa kijesh ki Technology !!!!! Kuna tetesi Wamezuiya TV kuonesha live kipondo wanachopewa!!!
 
Tumepokea maoni yako..
Sasa ukiwa kama myaudi wa kitanzania unanufaika vipi na vita vinavyoendelea huko tehran?
Kwani wewe u ananufaika nini na haya? Au wewe ni Muajemi wa Kitanzania? Si ungetakiwa kujiuliza hili swali wewe kwanza. Sipendi watu wanaoshabikia vitu vya kijinga huku wanaacha wanawake na watoto wakiteseka
 
Ukweli ni huu, Israel ina hit serious target, haina issue na raia wa Iran, wajinga tu waliofungwa akili na Uislamu ndio hawawezi kuujuwa ukweli.

Na Saudi Arabia anakotoka mtume Muhammad ndio adui namba moja wa Iran.

View attachment 3367813View attachment 3367814
Usibebe watu ufala wewe.
Israel imeua raia 80 wa Iran.
Hao makamanda waliuliwa wakiwa uraiani.
Kama unazungumzia kuhusu target basi Israel ingelipua mahandaki ya Hamas badala ya kulipua mahospitali Gaza.
Kama unazungumzia target Israel asingekua anaua raia kama alivyofanya Jana kaua raia 80 na kajeruhi raia 324.

Iran nayo ime hit target zake.
Wizara ya ulinzi imelipuliwa na kambi baadhi za jeshi zimelipuliwa ndani ya Israel.
 
Kuna mmoja kapoteza kapoteza Viongozi wa juu wa kijeshi na wana sayansi na raia pia kuna mwingine mpaka sasa kuna mmoja kapoteza raia na majengo TARATIBU TUTAMJUA NANI MWAMBA
 
Back
Top Bottom