Cherecheche
JF-Expert Member
- Nov 16, 2024
- 4,780
- 9,148
Wapi huko na lini na nani huyo?Kuna Kichaa zaidi ya Aliyepiga Hospital shule na Vituo vya wakimbizi!?
Wapi huko na lini na nani huyo?Kuna Kichaa zaidi ya Aliyepiga Hospital shule na Vituo vya wakimbizi!?
Vita haina macho bwana kobaziBasi na mzayuni ni mwehu alieuwa watoto 2000 na wanawake
Hao wamejaa Ujinga tu na Kuiona Israel Kama Mbinguni kumbe Uharo tu
View: https://x.com/alon_mizrahi/status/1933738821117727073?t=EThzarK56Z7PCZME8RWqhQ&s=19
Wanakwambia wamekufa watatu tu
Mbona unajijibu uliyouliza?Vita haina macho bwana kobazi
Hii video imeshtua wengi, Telaviv mitaaa imegeuka Kama Gaza.
This is worse than Ever
View: https://x.com/AlanRMacLeod/status/1933673107736105000?t=RNEkIJQhB9oaV0miCVMQMg&s=19
Hii video imeshtua wengi, Telaviv mitaaa imegeuka Kama Gaza.
This is worse than Ever
View: https://x.com/AlanRMacLeod/status/1933673107736105000?t=RNEkIJQhB9oaV0miCVMQMg&s=19
Hii video imeshtua wengi, Telaviv mitaaa imegeuka Kama Gaza.
This is worse than Ever
View: https://x.com/AlanRMacLeod/status/1933673107736105000?t=RNEkIJQhB9oaV0miCVMQMg&s=19
Nimesema wapi ni vita ya kidini?Mbona unajijibu uliyouliza?
Au huelewi ulichochangia
Unauliza halafu unajibu
Kama hujui hii vita sio ya kidini bali maslahi ya kuwalinda Waarabu wa Middle East kwa Iran
Taratibu utaelewa kama Una akili lakini
Unaona unavyojichanganya tenaNimesema wapi ni vita ya kidini?
Hii video imeshtua wengi, Telaviv mitaaa imegeuka Kama Gaza.
This is worse than Ever
View: https://x.com/AlanRMacLeod/status/1933673107736105000?t=RNEkIJQhB9oaV0miCVMQMg&s=19
Hii video imeshtua wengi, Telaviv mitaaa imegeuka Kama Gaza.
This is worse than Ever
View: https://x.com/AlanRMacLeod/status/1933673107736105000?t=RNEkIJQhB9oaV0miCVMQMg&s=19
SawaUnaona unavyojichanganya tena
Rudia kusoma comment zako
Uwe na siku njema
Mbona avatar yako hainoshi kama una furaha! You seem to be a very sad amigo!!Israel kuchakazwa ni furaha yangu 😎
babu Iran tofauti na Israel angekuwa anaungwa mkono na wenzake angeipoteza Israel dk tu,yeye anarusha popote coz mabomu yanapita nchi nyingi na machache yanapita.Lengo la Iran ni nini kwenye kurusha makombora?