Akili ipi? Isije kuwa ni zile akili kama zako za mabanzi mawili matatu.Aliokwambia ku secure mapenzi ni pesa tu ndio inahitajika? Mapenzi ni akili inatakiwa itumike vizuri pia. Thus why wenye akili nyingi hawalazimiki kutumia pesa kuwalinda wanawake.
Unatumia akili tu mwanamke anajilinda mwenyewe.
Hivi unaaminigi zile mambo, akili ya mwanamke ni very tender kwa mwanaume esp. ukimjulia vyema.Akili ipi? Isije kuwa ni zile akili kama zako za mabanzi mawili matatu.
Hao vidume wengine wanasifa gani?? Are they not broblem sover?? Au wanapatikana sayari gani??? Au ni mzunguko...Otherwise jua unasaidiwa kazi na vidume wenzako,
Yeahimekutouch au ,mbona kejeli sanaaa
Hajui Vizuri Hapa Ndiyo Viongozi WanakeshaNEW MEMBER UNAKUJA NA STYLE YA KULIA KULIA MAPEMA HII?KWEMA HUKO UTOKAKO?
Lile Jambo Letu Vp!! Mwaka Huu UnaishaAsante kwa Taarifa...
ππchupa imeamka na chai. karibu JeiEfu
Pesa haiwezi kumtuliza mwanamke Bali itamfanya akupende kinafiki tu ... Kumtuliza mwanamke Inategemeana na mwanamke husika aamue kutulia au la .. maana wanawake Miongoni mwenu Kuna wenye upendo wa dhati(hawa wapo wachache ).Malaya . Wakarimu wenye roho Mbaya etc ...Akili ipi? Isije kuwa ni zile akili kama zako za mabanzi mawili matatu.
ππ First year au sio ?Endelea na masomo kwanza
Lile la tumbo .... Maendeleo Mujarab kabisaLile Jambo Letu Vp!! Mwaka Huu Unaisha