Hii ni siri nzito......

Status
Not open for further replies.

mahirtwahir

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2013
Posts
614
Reaction score
322
Wenzangu hii nibsiri mzito ambayo kila nikitafakari kwa akili za kibinaadamu sipati jibu.

Siri ya Namba7,

1. Mbingu 7
2. Wiki siku 7
3. Tawaf x7
4. Safa/Marwa x7
5. Jamarat mawe 7
6. Ajaib dun'ya 7
7. Milango ya moto 7
8. Shahada ina maneno 7
9. Takbira ya Eid x7
10. Idadi ya bahari 7
11. Idadi ya Continents 7
12. Idadi ya Surat Fatiha 7
13. Nyota zijulikanazo jina ni7

Naomba mwenye mtazamo wa kidini au kisayansi aniambie.
Hakika ya mungu ni mjuzi wa yote na sisi ni mali yake na hakiia kwake tutarejea.
 
PM7.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
pombe aina saba 1. chimpumu 2.uraka 3. Mnipa 4. komoni 5. kindi 6. myakaya na 7. Heinken kombora, hiyo ndo cri ya namba 7
 

Sasa hapo siri iko wapi mkuu....mmmmmh
 
mbingu 7, milango ya motoni 7?! Kivipi? Lete source tafadhali.
 
why a week has seven days..


Oceans in the world; four or five depending on the answer even more but not seven

Stars.. there are millions of them hata mimi zipo nimeamua kuzipa majina ninayopenda mimi
 
vinasaba , hahaha,
dna
acheni uchizi , fikirieni jinsi ya kukucha uchumi,
 

This is a proof that hayo mambo yalitengenezwa na watu kwa sababu Mungu hafungwi na namba wala ana uhusiano na namba yoyote ile
 
Kwa imani ya Kikristo na imani za Kishirikina pia namba SABA na NAMBA tatu ni namba ya ukamilifu, yaani kitu kikitajwa katika idadi ya saba maana yake kimekamilika na kimefikia utamati wake kwa hiyo hakuna modifications zozote...

Ni kama namba AROBAINI ni namba ya mpito yaani transition
 

nimependa ulivyochambua "LIKE"
 
kama unataka kujua mambo ya namba saba soma ufunuo wa yohana ndio utaona inavyotajwa. makanisa 7
vinara vya taa ya dhahabu 7
nyota 7
nk
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…