Wenzangu hii nibsiri mzito ambayo kila nikitafakari kwa akili za kibinaadamu sipati jibu.
Siri ya Namba7,
1. Mbingu 7
2. Wiki siku 7
3. Tawaf x7
4. Safa/Marwa x7
5. Jamarat mawe 7
6. Ajaib dun'ya 7
7. Milango ya moto 7
8. Shahada ina maneno 7
9. Takbira ya Eid x7
10. Idadi ya bahari 7
11. Idadi ya Continents 7
12. Idadi ya Surat Fatiha 7
13. Nyota zijulikanazo jina ni7
Naomba mwenye mtazamo wa kidini au kisayansi aniambie.
Hakika ya mungu ni mjuzi wa yote na sisi ni mali yake na hakiia kwake tutarejea.