Hii ni siri nzito......

Hii ni siri nzito......

Status
Not open for further replies.
Wenzangu hii nibsiri mzito ambayo kila nikitafakari kwa akili za kibinaadamu sipati jibu.

Siri ya Namba7,

1. Mbingu 7
2. Wiki siku 7
3. Tawaf x7
4. Safa/Marwa x7
5. Jamarat mawe 7
6. Ajaib dun'ya 7
7. Milango ya moto 7
8. Shahada ina maneno 7
9. Takbira ya Eid x7
10. Idadi ya bahari 7
11. Idadi ya Continents 7
12. Idadi ya Surat Fatiha 7
13. Nyota zijulikanazo jina ni7

Naomba mwenye mtazamo wa kidini au kisayansi aniambie.
Hakika ya mungu ni mjuzi wa yote na sisi ni mali yake na hakiia kwake tutarejea.
Hata wewe unaweza kuja na zako za,2,2,2...ni fubo la imani tu.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom