Hii ni shida inaweza kuwa shida gani?

Bob Malik

Senior Member
Oct 1, 2019
121
404
Ni takribani wiki sasa napitia hii changamoto ya kiafya.

Upande wa kushoto kifuani(Kwenye moyo) nahisi maumivu hasa baada ya kuvuta hewa.

Kuna dalili kama kichefuchefu na uchovu viliambatana

Hii unitokea hasa hasa wakati wa usiku. Mchana mara chache sana hasa nikiwa na njaa.

Kabla ya kuwasilisha kwenu nilienda dispensary nikacheki afya...nilikutwa na U.T.I tu. Nimetumia antibiotics hali imekaa sawa ila bado maumivu upande wa kushoto na kama kifua kubana. Na wakati mwinvine nahisi kama makohozi kwenye koo japokuwa sikooi.

Naombeni msaada hii inaweza kuwa ni nini?
 
Jaribu kukagua na vidonda vya tumbo, mkuu.

Huwa ina tabia ya aina yake. Unaweza kuwangwa hata mgongo au miguu kwa sababu tu ya vidonda vya tumbo.

Otherwise, pole sana.

NB: Kama unatumia usafiri wa gari private, wengi huwa wanavuta sana hewa/gesi hatari ile hasa baada ya gari kukaa saa nyingi imefungwa vioo, huenda hata juani, then unaingia, unafunga vioo na kuwasha AC.

Ina madhara makubwa kwenye mapafu, mfumo wa damu, ubongo na afya kwa ujumla.

Inatakiwa hewa ya nje iruhusiwe kwanza iingie ndani kwa muda, kabla ya kufunga vioo na kutumia AC.
 
Pole mwamba...
Hapo inabidi ukapime H-Phyroli, yaweza kuwa ni Gesi imejaa kwa tumboni mkuu. Hao virus wamekuwa mwiba sana sana mwishowe husababisha vidonda vya tumbo.
 
Jaribu kukagua na vidonda vya tumbo, mkuu.

Huwa ina tabia ya aina yake. Unaweza kuwangwa hata mgongo au miguu kwa sababu tu ya vidonda vya tumbo.

Otherwise, pole sana.

NB: Kama unatumia usafiri wa gari private, wengi huwa wanavuta sana hewa/gesi hatari ile hasa baada ya gari kukaa saa nyingi imefungwa vioo, huenda hata juani, then unaingia, unafunga vioo na kuwasha AC.
Nashukuru sana mkuu.
Nimewahi kuwa na kesi hii ya vidonda ila nilipona.
Sasa sijajua kama inaweza jirudia.

Ntafanya hivyo mkuu.
 
Pole mwamba...
Hapo inabidi ukapime H-Phyroli, yaweza kuwa ni Gesi imejaa kwa tumboni mkuu. Hao virus wamekuwa mwiba sana sana mwishowe husababisha vidonda vya tumbo.
Nimewahi kuwa na vidonda vya turbo mkuu.
Kesho nitaenda kucheki tena kama ndio vyenyewe.
 
Ni takribani wiki sasa napitia hii changamoto ya kiafya.

Upande wa kushoto kifuani(Kwenye moyo) nahisi maumivu hasa baada ya kuvuta hewa.

Kuna dalili kama kichefuchefu na uchovu viliambatana

Hii unitokea hasa hasa wakati wa usiku. Mchana mara chache sana hasa nikiwa na njaa.

Kabla ya kuwasilisha kwenu nilienda dispensary nikacheki afya...nilikutwa na U.T.I tu. Nimetumia antibiotics hali imekaa sawa ila bado maumivu upande wa kushoto na kama kifua kubana. Na wakati mwinvine nahisi kama makohozi kwenye koo japokuwa sikooi.

Naombeni msaada hii inaweza kuwa ni nini?
Jaribu kupima vidonda vya tumbo.Mim nilikua napata maumivu
 
Ni takribani wiki sasa napitia hii changamoto ya kiafya.

Upande wa kushoto kifuani(Kwenye moyo) nahisi maumivu hasa baada ya kuvuta hewa.

Kuna dalili kama kichefuchefu na uchovu viliambatana

Hii unitokea hasa hasa wakati wa usiku. Mchana mara chache sana hasa nikiwa na njaa.

Kabla ya kuwasilisha kwenu nilienda dispensary nikacheki afya...nilikutwa na U.T.I tu. Nimetumia antibiotics hali imekaa sawa ila bado maumivu upande wa kushoto na kama kifua kubana. Na wakati mwinvine nahisi kama makohozi kwenye koo japokuwa sikooi.

Naombeni msaada hii inaweza kuwa ni nini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom