Chifunanga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 290
- 98
Hivi wadau, hii serikali ni ya nani? Ni serikali ya rais (kwa sasa JK) au ni serikali ya watanzania?
Maana kuna speech moja rais anajitetea kuhusu kupitisha barabara kwenye hifadhi ya taifa na anasema serikali yake haijawahi kutaka kupitisha barabara katikati ya hifadhi ya taifa.
Je ni sawa kwa rais kuirefer serikali kama "my government" au "serikali yangu", au inabidi iwe "serikali ya tanzania" au "serikali ya jamhuri ya muungano wa tanzania"
Mi nahisi viongozi wakianza kuiita serikali ni serikali yao, inaweza kuleta maana kuwa wana haki ya kufanya maamuzi binafsi (kosa) badala ya kufanya maamuzi kwa niaba ya watanzania wote (sahihi)
naomba kuwasilisha
Maana kuna speech moja rais anajitetea kuhusu kupitisha barabara kwenye hifadhi ya taifa na anasema serikali yake haijawahi kutaka kupitisha barabara katikati ya hifadhi ya taifa.
Je ni sawa kwa rais kuirefer serikali kama "my government" au "serikali yangu", au inabidi iwe "serikali ya tanzania" au "serikali ya jamhuri ya muungano wa tanzania"
Mi nahisi viongozi wakianza kuiita serikali ni serikali yao, inaweza kuleta maana kuwa wana haki ya kufanya maamuzi binafsi (kosa) badala ya kufanya maamuzi kwa niaba ya watanzania wote (sahihi)
naomba kuwasilisha