Ambrose Koller
Senior Member
- Oct 13, 2024
- 102
- 85
Unaweza kuelezea zaidi kakaInategemeq nq shimo unalotqka
Hauna utaalamu kakaNgoja waje
Sina na ukizingatia nimeshalewa kaka🤔Hauna utaalamu kaka
Daah 😀Iko sawa,
Au ukionaje unaweza kufanya mwenyewe hiyo kazi...
Embu muamini fundi wako mkuu acha mambo ya kiwaki, hata akila hapo atakula shingapi?Daah 😀
Unapigwa mkuu, shimo pamoja na kujenga vile visivyojaa haizidi 1.3mFundi kanitumia hii bajeti ya kuchimba shimo la choo, wataalamu wa ujenzi hii iko sawa?
Pitia hii page uone bei na maelezoUnapigwa mkuu, shimo pamoja na kujenga vile visivyojaa haizidi 1.3m
www.instagram.com
Hapo upigaji mkubwa upo kwenye Cement na Nondo, unachimba shimo la size gani?Fundi kanitumia hii bajeti ya kuchimba shimo la choo, wataalamu wa ujenzi hii iko sawa?
Hapo kipengele kipo kwenye namba 6 na namba 10...lakini kwenye namba 6 kama ananunua lora zima la wire mesh zitabaki nyingi mno! Na kama ananunua kwa elfu 2 kama wanavyouza angenunua Wire mesh pc 5 tu ambayo ni kama elfu 10 tu...Yeye kaandika waya meshi 2 tsh 34000Fundi kanitumia hii bajeti ya kuchimba shimo la choo, wataalamu wa ujenzi hii iko sawa?