Hii ni ndoa maslahi

Hii ni ndoa maslahi

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
360,102
Reaction score
828,974
1413948610341.jpg
 
Bongo fleva zinawapa stimu...
NAKUPENDA BIBI KIZEE NAKUPENDA KIKONGWE
Wenzako wanliita zali la mentali
 
hivi hapo assume huyo kijana anamfnyia mambo yafuatayo
1.Anazama chumvini
2.Anakula matte
3.anamkunja staili tata

ni hatari sana kwa afya na saikolojia
 
uzee mwisho wapi vile???

...mkuu nawasihi ma great thinkers kutafakari maana na impact ya msemo huu. Kaharakaharaka unamaanisha,hekima busara na muongoza wa mashauri ya wazee haupo tena mjini. Impact yake ni kwamba wazee waliopo hawatapewa nafasi na jamii tena,pili wazee wenyewe hawatasimama kwenye nafasi zao,na hata wakifanya hivyo hawatajutia kufanya mambo ya kipumbavu. Longterm impact ni kizazi kilichokosa maadili maana nafasi ya wazee katika jamii imetetereka/haipo kabisa...
 
du masai dada, sentensi zako utatanishi.
hivi hapo assume huyo kijana anamfnyia mambo yafuatayo
1.Anazama chumvini
2.Anakula matte
3.anamkunja staili tata

ni hatari sana kwa afya na saikolojia
 
hivi hapo assume huyo kijana anamfnyia mambo yafuatayo
1.Anazama chumvini
2.Anakula matte
3.anamkunja staili tata

ni hatari sana kwa afya na saikolojia

kama anampunga namlamba hadi 0713 ;mradi nitoke kimausha maana nimepinda si mchezo
 
ni mahaba jamani hujui bibi amfanya nini kijana au kijaan amfanya nini bibi
 
kwani mtu akizeeka anapoteza hisia? hapendi?
waacheni wazee wa karne hii wafurahie maisha yao ya mwisho
 
Back
Top Bottom