Hii ni maajabu

kamdinyo

Senior Member
Joined
Jun 22, 2026
Posts
172
Reaction score
474
Kumbe kutongoza ni kosa la jinai? Mkuu wa mkoa unakimbilia kituoni kisa umepigwa sound na mtoto wa kike?!
Au mkuu ana umri chini ya miaka 18? Na kwa sheria za nchi yetu mtu mzima kutongozwa mtongozaji anakuwa amevunja sheria kwa mujibu wa kifungu kipi cha sheria?
nasema hii ni maajabu...
 
Hata kama sijasoma kuhusu sheria, ila kumtongoza mtu aliyevuka miaka 18 na sio mwanafunzi haiwezi kuwa jinai..
 
Viongozi wa CCM hawana akili
 
Hatoshi kuwa mkuu wa mkoa kama bado ana michezo ya kidato cha nne ...
Hizi kesi zingekuwa zinafanywa na wanawake kungekuwa na kesi ngapi mahakamani, hapa tupu Pm nimepata mitongozo zaidi ya 100, ningekuwa na kesi za kutosha, kama angekuwa hajamuelewa angemuita sehemu amuelekeze , hili ni jambo binafsi sana kwa watu wazima
 
Hakika, je na yeye aliowahi kuwatongoza wakiamua kumpeleka mahakamani!!
 
Tufanye na aliowahi kuwatongoza nao waende kumshitaki.. yani polisi wanatumika tu bila hata kuhoji..
Labda angesema alikua njiani kutapeliwa pesa ila jambo la mtu kuonyesha hisia zake sio vibaya, tunatengeneza matatizo makubwa mbeleni wataumia wengi mfano, watu wanaogopa kuwatongiza askari polisi, wanajeshi nk, Kwa kuhisi ni kosa
 

Na kutongozwa itakua sasa iwe ngoma droo,

Tunaposema wanaume waliisha kibongobongo muwe mnatuelewa jamani! Bora warudishage jando la miaka ya nineteen kweusi kule

Mwanaume unalialia kutongozwa? Dah
 
Labda angesema alikua njiani kutapeliwa pesa ila jambo la mtu kuonyesha hisia zake sio vibaya, tunatengeneza matatizo makubwa mbeleni wataumia wengi mfano, watu wanaogopa kuwatongiza askari polisi, wanajeshi nk, Kwa kuhisi ni kosa
Alafu kuna mengi ya kufanya kama mkuu wa mkoa, inamaana mkoa wake hauna mambo ya kutatua mpaka anaamua kuja na hii kiki ya form 4.. anataka kumuaminisha nani uaminifu wake!! Au mkewe??
 
Unapendwa kudinywa mzee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…