Hii ni kweli

Hii ni kweli

Majhura fikiri

Senior Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
121
Reaction score
13
Mambo vipi jamaan eti mapenzi ni pesa au pesa inanogesha pendo
 

Attachments

  • 1451799581429.jpg
    1451799581429.jpg
    27.7 KB · Views: 31
Mapenzi ni viungo vya uzazi, pesa ni leso ya maisha.
 
ImageUploadedByJamiiForums1451813627.710656.jpg
ImageUploadedByJamiiForums1451813642.341493.jpg
sio kweli mapenzi sio pesani kupendana kwa dhati!!!!
 
Mapenzi sio pesa ila ikikosekana yanapungua

Tafakari chukua hatua
 
Duh mpenz kwanza ila pesa inaongeza ladha ni kama chumvi kwenye cha kula au sukari kwenye chai ,ikikosekana hata ya kawaida yanapungua
 
Back
Top Bottom