hii ni kweli

nyie watoto wapuuzi kweli kweli...yaani kumkomoa demu kumpiga mimba? wajikomoa mwenyewe hapo maana umejipa majuku ya kulea mtoto...sasa sii ujinga huo.
Is dhisi MZABZAB I KNOW...au kuna mtu ame HACK account yake????
 
Sio ushujaa kumtia mimba hawala yako mjukuu wangu, mtie mimba mkeo. Naenda kulala, sina cha kuongeza wajukuu zangu.
 
Ngoja aje aambiwe akajitazamie afya yake na ikiwezekana aanze kutumia ARVs ndo atajua ye kamanda au la,amemkomoa dem au kajikomoa yeye,we na huyo jamaa ako u nid 2 growup alichokianzisha c ki2 kdg u r talkin bout lyf ya mtu (the child 2b born) bt naona mwaona km mwaenda kuchuma maembe!
Hata akija muacha hil doa alojitia litaathir maisha yake mpk kaburin, jaribun kuongea na wa2 wazma walofanya mistak km hz and c hw they wish if only they culd turn bak the hands of tym & chang everythng!
Strange eeh kumkomoa mtu ucyemtaka ni kumpa damu yako na kumfanya mzaz mwenzio 4 the rest of ur lyf!kwel mnawaza hamfikirii!
 
kwahiyo dawa ni tigo siyo?

dawa haiwezi kuwa Tigo, dawa was to let her go...kwa nini ulazimishe mapenzi?naye angemu-ignore tu ungeona na huyo dada naye akianza kujipendekeza (kama dada kweli anampenda mshikaji)
 
HoneyBee asante kwa kunisemea maanake nimeisoma thread nikabaki kinywa wazi kujua bado kuna watu ambao wanachukulia mambo so aesily like that,nimeshindwa hata niseme nini but for you actually you have hit the nail..........
 
Last edited by a moderator:
mkiwa wakubwa mtajua lakini sasa bado hamjajua
 
Binafsi niseme nini zaidi ya kustaajabishwa na ujinga wenu?!
 

Mwanzisha mada wewe ndo muhusika unajifanya eti Kamanda wako...Halafu kama vile unatafura supporters wa u.fa.la wako.
 
Haaa dunia imeisha yaani mwanamke hampendi mtu anaenda kumpa hivi hivi hii zinaaa itaisha kweli.na huyo mwanaume mungu atamuonesha dunia kama ndo wewe lako ilo utalinywa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…