Sokomoko
JF-Expert Member
- Mar 29, 2008
- 1,915
- 127
Jana nimemsikiliza vizuri sana mgombea wa kiti cha Urais kupitia chama cha CUF kuna baadhi ya tafiti zimenikuna na kwa kweli kwa kiasi kikubwa sana zimenifumbua macho na kuona kujua kila ninachokiona sasa hivi ni drama aidha iliyo planiwa kwa makusudi au kwa kutokujua.
Profesa amesema chama chake ndio kinachofuatia kwa kura kwenye uchaguzi wa maka jana wa serikali za mitaa na hakuna chombo cha habari chochote kinachosema hili au kuwahi kulisema hili. Anaongeza kusema vyombo vya habari vya Tanzania huwa wanaamua nani wampigie debe na akatolea mfano vyombo vya habari vilivyokuwa vikiipa nguvu CCJ lakini hajui mwisho wake ulikuwa vipi!
Amesema waandishi wa habari wao wanachagua nani wakumkampenia tena kwa nguvu zao lakini ni wananchi ndio wataamua nani wa kumpigia ikifika siku ya uchaguzi.
Wadau mnazikumbuka ripoti za CCJ? Hazifanani na chama fulani? je sio plani za chama tawala? fungueni macho.
Profesa amesema chama chake ndio kinachofuatia kwa kura kwenye uchaguzi wa maka jana wa serikali za mitaa na hakuna chombo cha habari chochote kinachosema hili au kuwahi kulisema hili. Anaongeza kusema vyombo vya habari vya Tanzania huwa wanaamua nani wampigie debe na akatolea mfano vyombo vya habari vilivyokuwa vikiipa nguvu CCJ lakini hajui mwisho wake ulikuwa vipi!
Amesema waandishi wa habari wao wanachagua nani wakumkampenia tena kwa nguvu zao lakini ni wananchi ndio wataamua nani wa kumpigia ikifika siku ya uchaguzi.
Wadau mnazikumbuka ripoti za CCJ? Hazifanani na chama fulani? je sio plani za chama tawala? fungueni macho.