Hii ni kwa Wanaume wasiojali

Hii ni kwa Wanaume wasiojali

Kuna watu wakitaka kudhoofisha hoja ya mtu wanahisi wakisema hili neno "Tafuta hela kwanza kijana" Kwamba ndio watashinda
Huo ni udhaifu mkubwa sana katika kujenga hoja kinzani.
Umemjibu vyema sana!!!
Ni wapuuzi tu huwa nawa ignore
 
Kama huna hela wanawake watakusalimia wa kazi gani?
Tafuta hela jomba, acha hizo mambo za kipimbi asee.
Mbona wewe ndo unaonekana una njaa njaa? Umekurupuka kukomenti hiki ulichokomenti? Sio bure. Unavuta bangi? Elimu yako tafadhali...

Unaonekana mshamba mshamba halafu. Ila sorry ni mtazamo wangu but nahisi una ukweli kwa zaidi ya 90%.
 
Back
Top Bottom