Hii ni kwa Wanaume wasiojali

Hii ni kwa Wanaume wasiojali

Kweli duniani mazingira yetu tunatofautiana maana kwa upande wangu hili haliwezekani.

Haya mazingira ya kutokuongea na wanawake mpaka waanze kujigonga kukukomoa yanakuwa yanafanyika wapi?

Kazini ts either unatoa maelekezo au unapokea maelekezo mnafanya kazi lazima muongee na unaofanya nao kazi, Nyumbani ni familia labda kidogo kama jirani mkikutana wakati mnaingia makwenu au kuna tukio, Sehemu za starehe na kujipumzisha utakuwa na rafiki au Mke, Sasa saa ngapi na katika mazingira gani unakuwa kwenye hali ya kutokuongea mpaka uonekane una nata kisha utegwe kukomolewa?
 
Kweli duniani mazingira yetu tunatofautiana maana kwa upande wangu hili haliwezekani.

Haya mazingira ya kutokuongea na wanawake mpaka waanze kujigonga kukukomoa yanakuwa yanafanyika wapi?

Kazini ts either unatoa maelekezo au unapokea maelekezo mnafanya kazi lazima muongee na unaofanya nao kazi, Nyumbani ni familia labda kidogo kama jirani mkikutana wakati mnaingia makwenu au kuna tukio, Sehemu za starehe na kujipumzisha utakuwa na rafiki au Mke, Sasa saa ngapi na katika mazingira gani unakuwa kwenye hali ya kutokuongea mpaka uonekane una nata kisha utegwe kukomolewa?
Hujawajua ke bado, hilo halijalishi. Iwe unaongea nao au huongei nao
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Hujawajua ke bado, hilo halijalishi. Iwe unaongea nao au huongei nao
Okey. Hata hivyo Kwa umri nilionao hakuna sababu ya kuwajua kama wana mambo mengi hivyo na ndo maana nimeshangaa kidogo. Huyu aliyenipa watoto namjua kwa kiasi kinachohitajika. Nafikiri Inatosha.
 
Kama huna hela wanawake watakusalimia wa kazi gani?
Tafuta hela jomba, acha hizo mambo za kipimbi asee.
Sasa nani hana hela? Labda wewe ndio nikuambie utafute hela. Ninazo za kutosha na bado naendelea kutafuta.
 
Back
Top Bottom