BABA JUICE
JF-Expert Member
- Sep 5, 2010
- 426
- 52
mwanamke anasamehe kweli, i know coz i played the game.dont hate the player hate the game
<br />Unategwa hapo.Ilinitokeaga mimi cku nilipopanga kukutana naye wakaja wote wote wawili mitaa ya B Bar Cnza wakaniweka mtu kati huku wakiongea kwa sauti maneno ya kashfa.Nilitoka mbio na mpaka leo cjakanyaga tena B Bar though ni miaka 6 sasa imepita.
<br />Nipo mpendwa! Mzima weye? Waelekea wapi na giza lote hili Husni?.. Naomba nikufuate jaman!
<br />Sasa mkuu mwaka mzima kashamegwa na wangapi mkuu?<br />
Na kama aliweza kukaa mwaka mzima bila kukutafuta au kutaka mrudiane je atashindwa vp kukutosa hata kesho!<br />
<br />
Au kaona upo safi kifedha amesha plan kuja kufaidi!<br />
Shtuka man kama vp mpotezee usitafute headache bureeee. Wadada wamejaa kibao tafuta mwingine tu
<br /><br />Unategwa hapo.Ilinitokeaga mimi cku nilipopanga kukutana naye wakaja wote wote wawili mitaa ya B Bar Cnza wakaniweka mtu kati huku wakiongea kwa sauti maneno ya kashfa.Nilitoka mbio na mpaka leo cjakanyaga tena B Bar though ni miaka 6 sasa imepita.
<br />Unategwa hapo.Ilinitokeaga mimi cku nilipopanga kukutana naye wakaja wote wote wawili mitaa ya B Bar Cnza wakaniweka mtu kati huku wakiongea kwa sauti maneno ya kashfa.Nilitoka mbio na mpaka leo cjakanyaga tena B Bar though ni miaka 6 sasa imepita.