mwanateknolojia
JF-Expert Member
- Nov 17, 2014
- 1,026
- 1,750
Duu! Pole sana mkuu, vilema vya ukubwani kiukweli huwa vinatesa sana, alafu hadi mtu uje ujikubali inachukua muda, lakini dawa hapo ni wewe tu kujikubali na kusonga mbele ndipo wengine watakukubali kama ulivyo! Atakaekucheka mpuuze, fanya lile lililo ndani ya uwezo wako na Mungu pia hatokutupa!