nguluvisonzo
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 515
- 71
Najisikia vibaya sana kutokana na hali halisi ya Taifa letu,kuna vitu vingi sana vinasikitisha na tumeviona,wototo kufukiwa katika kaburi moja,dowans,IPTL,EPA,makalio ya wachina n.k.
Lakini hili la NOTI ZINAZOTUMIKA KAMA FEDHA HALALI KWA MALIPO HALALI KUCHUJA RANGI HII NI KALI.Jamani wekundu wa msimbazi mpya inachuja rangi hata ukiweka katika karatasi nyeupe ukawa kama unafuta juu ya hiyo karatasi utaona rangi nyekundu ikibaki,hivi hawa benki kuu na gavanor wao wakoje,kila mahala wizi wizi tu tufanyeje ? labda katiba mpya iwe na kipengele cha atakaye hujumu ucumi,iba mali ya umma,atakayesababisha hasara kwa taifa kwa taaluma yake(daktari,mwanasheria,engeneer,n.k)wanyongwe shingo mpaka kufa hadharani kila mtanzania akishuhudia ndipo hatutakuwa na mambo haya.
noti zetu ni dhaifu jamani, kulikoni BOT mtueleze nani kazitengeneza na alipataje tenda hiyo ya kutuharibia fedha yetu.
BOT bado kuna ufisadi Mkwere kapelekewa sample akawasifu, kumbe bomu kubwa alikuwa analitegua ni hatari sana, awashikishe adabu wahusika kwani wanamshushia hadhi kila kukicha.
Lakini hili la NOTI ZINAZOTUMIKA KAMA FEDHA HALALI KWA MALIPO HALALI KUCHUJA RANGI HII NI KALI.Jamani wekundu wa msimbazi mpya inachuja rangi hata ukiweka katika karatasi nyeupe ukawa kama unafuta juu ya hiyo karatasi utaona rangi nyekundu ikibaki,hivi hawa benki kuu na gavanor wao wakoje,kila mahala wizi wizi tu tufanyeje ? labda katiba mpya iwe na kipengele cha atakaye hujumu ucumi,iba mali ya umma,atakayesababisha hasara kwa taifa kwa taaluma yake(daktari,mwanasheria,engeneer,n.k)wanyongwe shingo mpaka kufa hadharani kila mtanzania akishuhudia ndipo hatutakuwa na mambo haya.
noti zetu ni dhaifu jamani, kulikoni BOT mtueleze nani kazitengeneza na alipataje tenda hiyo ya kutuharibia fedha yetu.
BOT bado kuna ufisadi Mkwere kapelekewa sample akawasifu, kumbe bomu kubwa alikuwa analitegua ni hatari sana, awashikishe adabu wahusika kwani wanamshushia hadhi kila kukicha.