Hii ni Fasheni Gani ya Upasuaji?

PakaJimmy

JF-Expert Member
Apr 29, 2009
16,203
8,724
Wakuu Wanajamvi,

Naomba tushee haya mambo yanayonitatanisha!

Nimeshawasikia wadada kadha wakisema kwamba siku hizi kuzaa kawaida (normal delivery) imepitwa na wakati.

Dada mmoja ambae mjamzito akadai kuwa yeye akifikia kujifungua atafanya mipango ya kupelekwa theatre kufanyiwa operesheni , akisema kwamba kuzaa normal kunaharibu shepu na kumlegeza mwanamke (sijui ni idara ipi inayolegea)!

Lakini pia kuna dada mmoja family friend, ambaye ni msomi mzuri sana, ni Medical Doctor wa hapa Mount Meru, ambapo yeye ameamua wanae wote wazaliwe kwa oprtn, na anakuwa amepanga kabisa tarehe za kuwazaa, na anadai anataka birthday za watoto hao ziwe na mtiririko fulani aliouchagua yeye na bwanake!

Lakini pia anatoa sababu kuwa kuzaa normal kuna risk/possibility kubwa ya kuzaa mtoto tahira kutokana na handling ya wazalishaji!
Je wnandugu ni kweli kujipangia upasuaji mkubwa huo ni fasheni?
 
Upasuaji unaharibu shepu ya tumbo (wengi utaona wana vitambi vimekaa ovyo ovyo hivi) kwa sababu baada ya operation hawezi kufunga tumbo lake kama waliozaa kawaida wanavyofanya.
 
Kuzaa kwa operation sio fasheni bali ni mlolongo wa mambo mengi yakiwamo haya yafuatayo
1- njaa za madaktari na vijihospitali vyao special vya kuhudumia wagonjwa so wanafanya operation ili kuongeza pato lao kutokana na kazi yenyewe kuwa ndogo ila gharama kubwa ikiwamo ya kumlaza mgonjwa baada ya operation( hii kwa dsm inacover 70% za operation zote za uzazi)

2- maandalizi ya mjamzito kabla ya kujifungua- aina za vyakula wanavyokula wazazi wetu wanapelekea watoto kuwa wakubwa sana na kuzaliwa kwa njia ya kawaida inakuwa issue...then operation (hii ni 20% ya operation zetu za uzazi)

3- fashion na life styles za ajabu- kina dada wanavijisababu vya kipuuzi ikiwamo ya uke kutanuka, kulegea na ikiwamo michezo yao michafu ya kuliwa tigo/kinyume cha maumbile na ku-tizamia maisha ya wazungu...hii imesababisha kitu kaqma 10% ya operation za uzazi hasa kwa hili daraja la mabinti walioingia vyuoni na kutoka ndio wengi wao..

HITIMISHO...takwimu nilizotoa ni kwa uchunguzi wangu mwenyewe na zisihusishwe na taasisi yoyote ya kitabibu duniani, sipo tayari kutoa chanzo changu cha takwimu hizi isipokuwa chini ya kiapo cha usiri tosha na maslahi yangu ki-uchumi kuzingatiwa na kulindwa na mikataba ya nchi husika.
 
Kuzaa kwa operation sio fasheni bali ni mlolongo wa mambo mengi yakiwamo haya yafuatayo
1- njaa za madaktari na vijihospitali vyao special vya kuhudumia wagonjwa so wanafanya operation ili kuongeza pato lao kutokana na kazi yenyewe kuwa ndogo ila gharama kubwa ikiwamo ya kumlaza mgonjwa baada ya operation( hii kwa dsm inacover 70% za operation zote za uzazi)

2- maandalizi ya mjamzito kabla ya kujifungua- aina za vyakula wanavyokula wazazi wetu wanapelekea watoto kuwa wakubwa sana na kuzaliwa kwa njia ya kawaida inakuwa issue...then operation (hii ni 20% ya operation zetu za uzazi)

3- fashion na life styles za ajabu- kina dada wanavijisababu vya kipuuzi ikiwamo ya uke kutanuka, kulegea na ikiwamo michezo yao michafu ya kuliwa tigo/kinyume cha maumbile na ku-tizamia maisha ya wazungu...hii imesababisha kitu kaqma 10% ya operation za uzazi hasa kwa hili daraja la mabinti walioingia vyuoni na kutoka ndio wengi wao..

QUOTE]

Hapo Mkuu umeongelea points makini sana ambazo kisayansi ni kweli kabisa zinapelekea wadada wengi wafanyiwe upasuaji.
Lakini hii ya kujitakia wenyewe tena ni ya wapi hii?
Au ndo hayo matokeo ya usomi wa elimu yenye utumwa mamboleo!
 
hawajui wanachozungumza bali wanafata mkumbo tu.wangewauliza hao daktari wenyewe na wangewasikia kwamba ni vizuri kuzaa njia ya kawaida kama huna tatizo lolote la kiafya au hakuna hatari yoyote kwa mtoto.daktari ambaye atawashauri kuzaa kwa operation kuliko kawaida bila sababu yoyote huyo anaangalia hela tu kwa upande wake kwani analipwa hela nyingi zaidi akiwazalisha dada zetu kwa operation kuliko kawaida.
 
akisema kwamba kuzaa normal kunaharibu shepu na kumlegeza mwanamke (sijui ni idara ipi inayolegea)!

QUOTE]


Hahaaaa!! Mkuu nadhani itakuwa hapo chini baba anapopapenda..!! Any way Nijua cho mimi Cesarean incision si kwa ajili ya fashion bali hufanywa pale inapotokea mama mjamzito akashindwa kujifungua kwa njia yake ya kawaida. Siku hizi imeonekana kwamba maambukizi ya HIV kutoka kwa mama mjamzito kwenda kwa mtoto wakati wa kujifungua nimakubwa na njia mbadala ya kumnusuru mtoto ni hii procedure ya Cesarean incision kwani mtoto hatapata michubuko wakati wa kupita kwenye njia ya uzazi ya mama. Nataka tu kumhakikishia huyo dada kwamba mwanamke mwenye nani hii kubwa mara nyingi huwa ni mtamu zaidi kuliko ikiwa ndogo..! Jiamini na jinsi mungu alivyo kuumba !!
 
Hii ni kweli kabisa wasichana wanaokuwa wamama siku hizi wanapenda kujifungua kwa upasuaji kwa makusudi.
Nina mashost zangu watatu wote wamejifungua kwa upasuaji kwa kutaka wenyewe ili njia zao ziwe mnato.
 
Hii ni kweli kabisa wasichana wanaokuwa wamama siku hizi wanapenda kujifungua kwa upasuaji kwa makusudi.
Nina mashost zangu watatu wote wamejifungua kwa upasuaji kwa kutaka wenyewe ili njia zao ziwe mnato.


Mnato ili ? Kwani waliambiwa wanaume wanahitaji hizo nani hii zao zinatie humo ndani ? Tell them what you believe and know..!!!
 
Ukweli,
Wengi wanafanyiwa kwa sababu za kitabibu 60%
Waliobakia wanafanyiwa ama kwa kupenda wenyewe kulingana na upeo wa akili zao,kwa kiburi cha pesa zao kwani garama za jumla za c / i ni kati ya TZS 200,000(kwa dili) -1000000 AMA kwa kuwa (conviced by dr)
 
Hii ni kweli kabisa wasichana wanaokuwa wamama siku hizi wanapenda kujifungua kwa upasuaji kwa makusudi.
Nina mashost zangu watatu wote wamejifungua kwa upasuaji kwa kutaka wenyewe ili njia zao ziwe mnato.

Pretty,

Uhave said it all!

Sa kipi bora, kuwa na nanihino mnato au kuwa na bonge la scar kwenye tumbo, ambalo linaleta discomfort hata kwa huyo jamaa unaemmegea mnato?

Lakini pia hawaoni kwamba oprtn inakuw na maumivu ya kudumu maishani, hasa wakati wa baridi?
 
Back
Top Bottom