Hii ni dharau kubwa sana aliyoifanya mkuu wa mkoa wa DSM dhidi ya waziri wa habari na michezo Mh Nap

Hakikwanza

JF-Expert Member
Dec 11, 2010
4,034
1,003
Kwanza kwa heshima kubwa nikupongeze Mh Nape kwa kuunda kamati ndogo ili iweze kuja na uhalisia wa nini kilitokea ofisi za Clouds. Kwamba hii kamati izihoji pande zote mbili ili kuupata ukweli wa kilichotokea pale Clouds. Ninashukuru sana kwa kuwa umetumia njia bora za kiongozi, kusikiliza kwanza pande zote zinazo husika kwenye mgogoro. Lakini imenisikitisha sana kwa mkuu wa mkoa kwa kuikwepa hii kamati teule iliyoundwa na waziri mwenye dhamana. Hii ni dharau kubwa sana inayoonyeshwa na RC kwa waziri. Pole sana waziri na kamati yako kwa kudharauliwa hivyo.
 
Kamati iliyojaa wanahabari kina balile, UNATEGEMEA MATOKEO YATAKUWAJE?

HIYO KAMATI ILIKUWA BATILI, HALAFU MNA UHAKIKA GANI MANENO WALIYOSEMA WATANGAZAJI WA CLOUDS NI KWELI ?

MAANA KUNA KUMSINGIZIA,

NASHANGAA WASOMI MNAVYOISHUPALIA HIYO KAMATI ,WAKATI INA MAPUNGUFU MENGI SANA DHIDI YA MAKONDA., HEBU KUWENI FAIR JAPO MNAMCHUKIA PAUL MAKONDA
 
Kamati iliyojaa wanahabari kina balile, UNATEGEMEA MATOKEO YATAKUWAJE?

HIYO KAMATI ILIKUWA BATILI, HALAFU MNA UHAKIKA GANI MANENO WALIYOSEMA WATANGAZAJI WA CLOUDS NI KWELI ?

MAANA KUNA KUMSINGIZIA,

NASHANGAA WASOMI MNAVYOISHUPALIA HIYO KAMATI ,WAKATI INA MAPUNGUFU MENGI SANA DHIDI YA MAKONDA., HEBU KUWENI FAIR JAPO MNAMCHUKIA PAUL MAKONDA
Sasa huyo RC si angebaki atoe ukweli wa kina
 
Kamati iliyojaa wanahabari kina balile, UNATEGEMEA MATOKEO YATAKUWAJE?

HIYO KAMATI ILIKUWA BATILI, HALAFU MNA UHAKIKA GANI MANENO WALIYOSEMA WATANGAZAJI WA CLOUDS NI KWELI ?

MAANA KUNA KUMSINGIZIA,

NASHANGAA WASOMI MNAVYOISHUPALIA HIYO KAMATI ,WAKATI INA MAPUNGUFU MENGI SANA DHIDI YA MAKONDA., HEBU KUWENI FAIR JAPO MNAMCHUKIA PAUL MAKONDA

Mtoto wa miaka 23 unandika ujinga kama huu? Utanunulika mpaka lini?
 
AMEDHARAULIWA SANA.
Mwl Nyerere amka njo uone Tanzania ya sasa na jeuri ya madaraka waliyonayo watu Fulani.
 
Kamati iliyojaa wanahabari kina balile, UNATEGEMEA MATOKEO YATAKUWAJE?

HIYO KAMATI ILIKUWA BATILI, HALAFU MNA UHAKIKA GANI MANENO WALIYOSEMA WATANGAZAJI WA CLOUDS NI KWELI ?

MAANA KUNA KUMSINGIZIA,

NASHANGAA WASOMI MNAVYOISHUPALIA HIYO KAMATI ,WAKATI INA MAPUNGUFU MENGI SANA DHIDI YA MAKONDA., HEBU KUWENI FAIR JAPO MNAMCHUKIA PAUL MAKONDA
Andika herufi ndogo, kwani wewe ni Bashite?
 
Kamati iliyojaa wanahabari kina balile, UNATEGEMEA MATOKEO YATAKUWAJE?

HIYO KAMATI ILIKUWA BATILI, HALAFU MNA UHAKIKA GANI MANENO WALIYOSEMA WATANGAZAJI WA CLOUDS NI KWELI ?
Wamekabidhi recording ya tukio. Sina wasiwasi na yote yaliyosemwa, ila binafsi ile kamati haikukamilika wala Ku balance.

MAANA KUNA KUMSINGIZIA,

NASHANGAA WASOMI MNAVYOISHUPALIA HIYO KAMATI ,WAKATI INA MAPUNGUFU MENGI SANA DHIDI YA MAKONDA., HEBU KUWENI FAIR JAPO MNAMCHUKIA PAUL MAKONDA
 
Kamati iliyojaa wanahabari kina balile, UNATEGEMEA MATOKEO YATAKUWAJE?

HIYO KAMATI ILIKUWA BATILI, HALAFU MNA UHAKIKA GANI MANENO WALIYOSEMA WATANGAZAJI WA CLOUDS NI KWELI ?

MAANA KUNA KUMSINGIZIA,

NASHANGAA WASOMI MNAVYOISHUPALIA HIYO KAMATI ,WAKATI INA MAPUNGUFU MENGI SANA DHIDI YA MAKONDA., HEBU KUWENI FAIR JAPO MNAMCHUKIA PAUL MAKONDA
Utaachaje kuyaamini wakati aliyetakiwa kuyathibitisha au kuyakanusha amekimbia kamati.
Alipewa nafasi ya kueleza hayo yote hajaitumia.
 
Kamati iliyojaa wanahabari kina balile, UNATEGEMEA MATOKEO YATAKUWAJE?

HIYO KAMATI ILIKUWA BATILI, HALAFU MNA UHAKIKA GANI MANENO WALIYOSEMA WATANGAZAJI WA CLOUDS NI KWELI ?

MAANA KUNA KUMSINGIZIA,

NASHANGAA WASOMI MNAVYOISHUPALIA HIYO KAMATI ,WAKATI INA MAPUNGUFU MENGI SANA DHIDI YA MAKONDA., HEBU KUWENI FAIR JAPO MNAMCHUKIA PAUL MAKONDA
I am uncertain with your true ability of thinking and processing things....! You must be an alien from out space.
 
Kamati iliyojaa wanahabari kina balile, UNATEGEMEA MATOKEO YATAKUWAJE?

HIYO KAMATI ILIKUWA BATILI, HALAFU MNA UHAKIKA GANI MANENO WALIYOSEMA WATANGAZAJI WA CLOUDS NI KWELI ?

MAANA KUNA KUMSINGIZIA,

NASHANGAA WASOMI MNAVYOISHUPALIA HIYO KAMATI ,WAKATI INA MAPUNGUFU MENGI SANA DHIDI YA MAKONDA., HEBU KUWENI FAIR JAPO MNAMCHUKIA PAUL MAKONDA
Ulitaka awepo nani ili kamati iwe halali?
Au wafanyakakazi wa gsm ndio ungekubali?

acha upuuzi wewe
 
Hivi hata kamati angekuwa lemutuz na baba daudi angesemaje, hebu mtu avae uhusika wa bashiti halafu ajaribu kujitetea hapa
 
Kamati iliyojaa wanahabari kina balile, UNATEGEMEA MATOKEO YATAKUWAJE?

HIYO KAMATI ILIKUWA BATILI, HALAFU MNA UHAKIKA GANI MANENO WALIYOSEMA WATANGAZAJI WA CLOUDS NI KWELI ?

MAANA KUNA KUMSINGIZIA,

NASHANGAA WASOMI MNAVYOISHUPALIA HIYO KAMATI ,WAKATI INA MAPUNGUFU MENGI SANA DHIDI YA MAKONDA., HEBU KUWENI FAIR JAPO MNAMCHUKIA PAUL MAKONDA
Uwepo wa watu wa aina hii duniani unachelewesha sana Maendeleo. Bahati mbaya wako Afrika tuu na zaidi Tanzania hii ya ccm
 
Kamati iliyojaa wanahabari kina balile, UNATEGEMEA MATOKEO YATAKUWAJE?

HIYO KAMATI ILIKUWA BATILI, HALAFU MNA UHAKIKA GANI MANENO WALIYOSEMA WATANGAZAJI WA CLOUDS NI KWELI ?

MAANA KUNA KUMSINGIZIA,

NASHANGAA WASOMI MNAVYOISHUPALIA HIYO KAMATI ,WAKATI INA MAPUNGUFU MENGI SANA DHIDI YA MAKONDA., HEBU KUWENI FAIR JAPO MNAMCHUKIA PAUL MAKONDA
Lazima utakuwa zao la mkesha wa mwenge...kwanza uwe adabu unapochangia jamvi hili la JF, lazima ufuate etiquette katika kuandika mtandaoni. Kwa nini huyo Bashite hakujitokeza mbele ya kamati kusema huo ukweli unaoudai umepotoshwa na watangazaji wa Clouds Fm? Binafsi sikipendi hicho kituo lakini kitendo cha mhuni huyo kuvamia kituo hakisameheki na kujaribu kutetea ni kuonesha ulivyo mtupu kama huyo kilaza wako aka Daudi.
 
Back
Top Bottom