Mkuu Kitego...., kama she wako, awe mke/dem/mchepuko/friend ama kwa namna yoyote ya ukaribu wenu, ana kuita hivyo "*.WEWE.*". Unangoja nin hapo hupendi kuitwa hivyo??? Na kama hupendi/hutaki kiitwa hivyo, kwanini huchukui hatua yeny kumaanisha kutokukubaliana na jina hilo??? Kama unachukia hali hiyo, na bado ni dhaifu kufanya uamuzi ufaao kwa faida yakoooo, mlaumu Mungu kukuumba mwanaume, na utafute kidume kikuoe ili uone how men decide anapopuuzwa na she.
SINA HURUMA NA MWANAUME ANAYELIA LIA NA TATIZO AMBALO SULUHU YAKE NI YEYE MWENYEWE. Ni kuamua tu kama Mungu alivyoamua, na mambo yanakuwa.