Hii ni dawa gani?

Doctor muda huu baada ya kumuhoji hoji kasema kwamba yeye hua anatumia hizo dawa kila anapokutana na mwanamke. Kaniambia kazimeza jioni hii pia
 
Doctor muda huu baada ya kumuhoji hoji kasema kwamba yeye hua anatumia hizo dawa kila anapokutana na mwanamke. Kaniambia kazimeza jioni hii pia
Antiretroviral ndiyo hizo hutumika kama PEP na PREP.

Lakini madai yake yana ualakini kwani uhakika zaidi wa kutumia kabla (PREP) ya kufanya mapenzi, basi itumike walau kila siku, siku saba kabla ya kujamiiana.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…