Hii ni dawa gani?

ARV anti- retrovirals

Retroviruses ni kundi la viruses ambao moja wapo ni HIV.
Anti - retrovirals ni dawa zilizotengenezwa kupambana na hao viruses

Mtu anapokuwa exposed na HIV, awe amebakwa, amejiprick, au amejamiana na mtu mwenye virusi.
Mapema zaidi kabla hayajapita masaa 72, anapewa ARV, ambazo zitaua virusi kabla havijaweka makazi kwenye mwili.

Hii haina ya tiba ndio inaitwa Post exposure prophlaxis(PEP).

Dawa hizi atatumia ndani ya mwezi mzima. Baada ya hapo atapima.

Kwa scenario ya rafiki yako inaoneka ana pata tiba ya PEP.
Kwa lugha ya ilizoeleka anatumia PEP.
 
Umbwa wewe... Kama ni mimi mabo yangu yasingefika huku.
Jokes aside
Kanieleza anazitumia mke wake hajui coz itakua soo atauliza uti kaitoa wapi

Mbona stori inabadilika tena...
 
Hivi, niulize wakuu. Kipi hasa kinamfanya mtu apate msukumo wa kucheki afya? Kuumwaumwa? Kupata mpenzi mpya? Kujiridhisha?
Kipi hasa?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…