Hii ni anti virus nzuri kwa simu

Hii ni anti virus nzuri kwa simu

Hakuna kitu kama hicho... naona unawachukulia poa sana Google

The thing ni open kwa yeyote, sa unategemea nn. Kataa ila katika hizi two markets the one full of garbage na viruses na playstore. Nna droid ila ndo ukwel wenyewe huo
 
Hakuna kitu kama hicho... naona unawachukulia poa sana Google

december mwaka jana brightest flashlight app inayotumia flash ya simu iligundulika ni spyware baada ya kuwa inatrack watu. hii ilikua ni baada ya kudownloadiwa zaidi ya mara milioni 100. imagine malware anagundulika baada ya kudownloadiwa mara milioni 100 tena sio na google na watu wengine tu.

Flashlightapp121213.png


sasa hivi kuna malware anauzwa kwenye blackmarket nyingi kwa dola 300 anaitwa DENDROID RAT take your time mgoogle. malware huyu anapita security zote anaingia hadi playstore na ukimueka kwenye simu yako anafanya haya.
-ana access ya camera anaweza piga picha na kuchukua video bila kujijua
-ana access ya microphone anarekodi simu zako.
-ana daka sms zote iwe ni whatsap au sms za kawaida
-anasoma saved login (password)
-browser history (vitu ulivyobrowse)
-na kudownload vitu vyako vya gallery

hebu imagine malware kama huyu aingizwe kwenye kampuni yenu na kampuni jirani si mnafilisika mara moja?

hii ndio playstore kaka.

pia unaweza kusoma research ya NC State
University associate Computer Science professor
Xuxian Jiang yeye alitest jumla ya apps zenye malware 1290 kutoka familia 49 za malware na kati ya hizo ni asilimia 15 tu ndio walidakwa na asilimia 85 wakapita free hao malware.
 
Ila chief-mkwawa, kwa definition ya topic tajwa, alikuwa anaongelea specifically virus wanaoweza kuharibu mfumo wa device yake. Hiyo ni totally different case na adware na spyware. Nadhani ni antivirus chache zinazoweza kugundua aina hii ya malware kwa sababu inapewa permissions na code yake haina obvious madhara kwa simu (ila zinakula battery na data connection). Madhara yanatokea kwa mtumiaji either kwa kucollect data zake private bila ya yeye kujua au kwa kumpelekea ads zisizomsaidia kitu.
 
Last edited by a moderator:
december mwaka jana brightest flashlight app inayotumia flash ya simu iligundulika ni spyware baada ya kuwa inatrack watu. hii ilikua ni baada ya kudownloadiwa zaidi ya mara milioni 100. imagine malware anagundulika baada ya kudownloadiwa mara milioni 100 tena sio na google na watu wengine tu.

Flashlightapp121213.png


sasa hivi kuna malware anauzwa kwenye blackmarket nyingi kwa dola 300 anaitwa DENDROID RAT take your time mgoogle. malware huyu anapita security zote anaingia hadi playstore na ukimueka kwenye simu yako anafanya haya.
-ana access ya camera anaweza piga picha na kuchukua video bila kujijua
-ana access ya microphone anarekodi simu zako.
-ana daka sms zote iwe ni whatsap au sms za kawaida
-anasoma saved login (password)
-browser history (vitu ulivyobrowse)
-na kudownload vitu vyako vya gallery

hebu imagine malware kama huyu aingizwe kwenye kampuni yenu na kampuni jirani si mnafilisika mara moja?

hii ndio playstore kaka.

pia unaweza kusoma research ya NC State
University associate Computer Science professor
Xuxian Jiang yeye alitest jumla ya apps zenye malware 1290 kutoka familia 49 za malware na kati ya hizo ni asilimia 15 tu ndio walidakwa na asilimia 85 wakapita free hao malware.

Research za wataalam zimeonyesha kuwa hata iOS devices haziko safe sana, kuna bots zinazoanza kutengenezwa mfano Zorenium. Huyu anaattack iOS 5 - 7. Ana uwezo hata wa kutengeneza fake shutdowns ukafikiri umezima hardware ya device kumbe kazi znaendelea. No one is safe mkuu.

Ushauri, angalia kwa makini system permissions unazotoa unapoinstall apps. Ukigundua useless permissions, google hiyo app, na ukiona hamna explanation ya hiyo permission basi hiyo app inaweza kuwa malware. Permissions kama za kuaccess camera, microphone, location, system tools kama kuprevent sleeping, kucontrol screen locking, kuset pasdword rules na device administration ni kubwa sana, usizitoe bila maelezo.
Pia, observe tabia ya apps zako kwenye application management, na utumiaji wa data wa hizo apps. Background apps na services ni hatari sana, ukigundua kuwa app haitaki kuwa closed na kazi yake haionekani au permissions zina kuilizo ni vema uitoe mapema. Tools kama SD MAID ztakusaidia.
 
Hapo hapo play store search AVG free antivirus, ni nzuri sana na tayari watu milioni 10 wameidownload, asikudanganye mtu eti ukae bila antivirus! Kinachomaliza betri ni 3G uwe unaizima ukiwa hautumii net
 
december mwaka jana brightest flashlight app inayotumia flash ya simu iligundulika ni spyware baada ya kuwa inatrack watu. hii ilikua ni baada ya kudownloadiwa zaidi ya mara milioni 100. imagine malware anagundulika baada ya kudownloadiwa mara milioni 100 tena sio na google na watu wengine tu.

Flashlightapp121213.png


sasa hivi kuna malware anauzwa kwenye blackmarket nyingi kwa dola 300 anaitwa DENDROID RAT take your time mgoogle. malware huyu anapita security zote anaingia hadi playstore na ukimueka kwenye simu yako anafanya haya.
-ana access ya camera anaweza piga picha na kuchukua video bila kujijua
-ana access ya microphone anarekodi simu zako.
-ana daka sms zote iwe ni whatsap au sms za kawaida
-anasoma saved login (password)
-browser history (vitu ulivyobrowse)
-na kudownload vitu vyako vya gallery

hebu imagine malware kama huyu aingizwe kwenye kampuni yenu na kampuni jirani si mnafilisika mara moja?

hii ndio playstore kaka.

pia unaweza kusoma research ya NC State
University associate Computer Science professor
Xuxian Jiang yeye alitest jumla ya apps zenye malware 1290 kutoka familia 49 za malware na kati ya hizo ni asilimia 15 tu ndio walidakwa na asilimia 85 wakapita free hao malware.

Wewe naona kila software unaichukulia kama malware... Application kusoma data kama location ni simply kitu ambacho huwezi kukizuia kwa antivirus, hiyo hata built in system ya android inafanya hiyo kazi, inaomba permission ya kutumia location yako kama utakubali au kukataa, kusema inasoma ur location afu ukaigroup kwenye software hatari unajidanganya, softwares zinazoomba location ni nyingi sana, web browser zote, software za map zote, huwezi kusema zote hizo ni malware... malware ni zile tu ambazo zitafanya hivo bila ruhusa yako, na hilo swala kwenye google store hupati...

Na huyo Dendroid rat humpati kwenye google store kwa hiyo swala linabaki palepale kua google store ni safe place ya kudownload softwares which is what i have been talking of toka nimeanza mada hii..
 
The thing ni open kwa yeyote, sa unategemea nn. Kataa ila katika hizi two markets the one full of garbage na viruses na playstore. Nna droid ila ndo ukwel wenyewe huo
Google store si open kwa yeyote, ina registration fee sawa tu na apple store, sema yenyewe ni $25 huku apple store inaenda hadi $90... usidhani software zinapitishwa tu bila kufanyiwa scanning, google hawaendi kinyuji huku wanajua fika kua viruses kwenye play store zitawapunguzia market
 
Wewe naona kila software unaichukulia kama malware... Application kusoma data kama location ni simply kitu ambacho huwezi kukizuia kwa antivirus, hiyo hata built in system ya android inafanya hiyo kazi, inaomba permission ya kutumia location yako kama utakubali au kukataa, kusema inasoma ur location afu ukaigroup kwenye software hatari unajidanganya, softwares zinazoomba location ni nyingi sana, web browser zote, software za map zote, huwezi kusema zote hizo ni malware... malware ni zile tu ambazo zitafanya hivo bila ruhusa yako, na hilo swala kwenye google store hupati...

Na huyo Dendroid rat humpati kwenye google store kwa hiyo swala linabaki palepale kua google store ni safe place ya kudownload softwares which is what i have been talking of toka nimeanza mada hii..

kaka seems hata hio link hujavisit jamaa kaeka malware zaidi ya 1000 playstore then wewe unabisha hawapo.

na hio brightest app owner mwenyewe kakiri alikua anaspy watu hivyo kama owner mwenyewe kakubali sidhani kama sisi tuna cha kuongeza.

kuhusu Rat watu wanamueka playstore kuna researcher baada ya kusoma hii habari akamueka kama app ya parental control na akafanikiwa soma hii link hapa

Saboteurs slip Dendroid RAT into Google Play - SC Magazine

hawa ni tunaowajua sisi bado ambao hatuwajui
 
Hapa utata nimeusoma....kuna mvutano kati ya mada ya malware(virus), spyware na adware. Hizi huwez kuzitreat pamoja kwa kweli. Labda mwenye mada angetusaidia kuclassify shida yake ni ipi, na kila mchangiaji atueleze explicitly ni class gani ya malware anayoiongelea.
 
Hapa utata nimeusoma....kuna mvutano kati ya mada ya malware(virus), spyware na adware. Hizi huwez kuzitreat pamoja kwa kweli. Labda mwenye mada angetusaidia kuclassify shida yake ni ipi, na kila mchangiaji atueleze explicitly ni class gani ya malware anayoiongelea.

malware au malicious software ni jina kuu ndani ya malware ndio unapata virusi, adware, spyware, trojan horse na worms
 
Nyoote sarut hakika kwa kiac chenu mlivyojibizana muwataalam wa IT. Hongereni kazaneni tupate kufungua nac MicroTZ yetu!!
 
kaka seems hata hio link hujavisit jamaa kaeka malware zaidi ya 1000 playstore then wewe unabisha hawapo.

na hio brightest app owner mwenyewe kakiri alikua anaspy watu hivyo kama owner mwenyewe kakubali sidhani kama sisi tuna cha kuongeza.

kuhusu Rat watu wanamueka playstore kuna researcher baada ya kusoma hii habari akamueka kama app ya parental control na akafanikiwa soma hii link hapa

Saboteurs slip Dendroid RAT into Google Play - SC Magazine

hawa ni tunaowajua sisi bado ambao hatuwajui

Kwenye hiyo link yako nimequote hiki kitu

Google Play, though the spurious app was speedily removed. According to an Ars Technica report, the malware was masquerading as a legitimate app called Parental Control, and had been downloaded 10 to 50 times before Google took it down.

Umeona imechukua muda gani hadi google kuiangusha?? Ni fasta sana, na still wameandika ilikua downloaded 10 to 50 times tu... unataka uniambie hawajui kazi yako ukizingatia millions of apps walizonazo kwenye store??
 
malware au malicious software ni jina kuu ndani ya malware ndio unapata virusi, adware, spyware, trojan horse na worms

I know that mkuu....ila huwa kuna generalization inatokea ya malware as virus...ndo maana ya hayo mabano.
 
Kwenye hiyo link yako nimequote hiki kitu



Umeona imechukua muda gani hadi google kuiangusha?? Ni fasta sana, na still wameandika ilikua downloaded 10 to 50 times tu... unataka uniambie hawajui kazi yako ukizingatia millions of apps walizonazo kwenye store??

kaka hii ni baada ya huyo malware kufikia habari mimi na wewe. so kama mimi na wewe tunajua je mainjinia wa google hawajui?

hio ni kukuonesha imepita security za google na kutolewa manually sababu wanajua.

sasa imagine malware mwengine anaitwa panya mimi na wewe hatumjui na mainjiania wa google hawamjui nae anabypass security ya google atadakwaje?
 
Hapa utata nimeusoma....kuna mvutano kati ya mada ya malware(virus), spyware na adware. Hizi huwez kuzitreat pamoja kwa kweli. Labda mwenye mada angetusaidia kuclassify shida yake ni ipi, na kila mchangiaji atueleze explicitly ni class gani ya malware anayoiongelea.

Mimi nililokua na shida nalo walinielewa na kulinganga na maelezo ya pande zote nimeshapata suluhu ya nini la kufanya labda tu kwa kukumbushia shida yangu mimi ilikua ni wonga wa malware(virus) kuweza kuidhuru simu yangu specifically kuharibu mfano kula mafile, kuvuruga progrmz, au kuizima kabisa device yangu. Ila ninaloshukuru hapa ni elimu endelevu ambayo naendelea kuipata tafadhali naomba msiache kueleweshana kwani wengi kati yetu humu tunaendelea kufaidika na malumbano ya hoja ya kiteknolojia yanayoendelea humu ndani ASANTENI SANA
 
Mimi nililokua na shida nalo walinielewa na kulinganga na maelezo ya pande zote nimeshapata suluhu ya nini la kufanya labda tu kwa kukumbushia shida yangu mimi ilikua ni wonga wa malware(virus) kuweza kuidhuru simu yangu specifically kuharibu mfano kula mafile, kuvuruga progrmz, au kuizima kabisa device yangu. Ila ninaloshukuru hapa ni elimu endelevu ambayo naendelea kuipata tafadhali naomba msiache kueleweshana kwani wengi kati yetu humu tunaendelea kufaidika na malumbano ya hoja ya kiteknolojia yanayoendelea humu ndani ASANTENI SANA

Karibu.
 
Hapo hapo play store search AVG free antivirus, ni nzuri sana na tayari watu milioni 10 wameidownload, asikudanganye mtu eti ukae bila antivirus! Kinachomaliza betri ni 3G uwe unaizima ukiwa hautumii net

Sasa nikiizima 3G ntapata vipi notifications?
Notifiactions ni muhimu kwa SP sio kuperuzi tu.
 
Back
Top Bottom