Tafadhal tunaomba uripot katika ofis za mali asili kwa kosa la ujangili wa kumuua nyoka Kwan ulitakiwa kutoa taarifa wa watu wa wanyama por waje wamfate kabla ya kumuua
"kingwagwalavoice. Sibaru,
Huyo hana sumu kabisa mmemuonea tu
Nawapenda sana viumbe hawa na siku moja nitatengeneza zoo ya nyoka tu na kuwaweka non poisonous peke yao na wenye sumu peke yao ili watu wajue