NetworkEngineer
JF-Expert Member
- Jun 21, 2012
- 1,923
- 1,150
Tirion 1 usd sio gharama ya ndege moja, ni gharama ya project tokea ilipoanza mwaka 2006 hadi sasa na mpaka itakapomaliza, unit cost ni usd 153mill.
muwe mnaweka kwa hela za madafu sio kila aliye JF anajua usd 153mil sawa na kiasi ganiTirion 1 usd sio gharama ya ndege moja, ni gharama ya project tokea ilipoanza mwaka 2006 hadi sasa na mpaka itakapomaliza, unit cost ni usd 153mill.
akili zao ni kuuwa watu na kubomoa majengo kama Libya alafu tena wajenge tena upya sasa watu watarudishwa upyaLikitu la ghaaaali!!! Halafu kazi yake ni kuuwa watu na kubomoa majengo. Ujinga mtupu.
kitu kama tanzania shs bilion 270 kwa ndege moja.muwe mnaweka kwa hela za madafu sio kila aliye JF anajua usd 153mil sawa na kiasi gani
halafu Mkuu nawashangaaa sana hawa viongozi wetu, hakuna sababu ya kununua hii military mitumba! Mbadala wawekeze kwenye elimu badala ya kupiga vichwa matafali!Sisi bado tuna chezea sijui Vi-Mig sijui ngapi, hata Raptor hatujafikia
wazo kama hili ndoo huwa naliwaza mimi yaaani ina maaana hizi silaha zote ni kwa ajili ya kuwaua binadamu??
wanadamu wanapataje huu ubunifu wa ajabu namna hii. sitaki kuamini kama shule pekee inatosha
huwezi kutuma Raptor au jointstrike kwenda kupambana na magaidi.Hasa vikundi vya kiislamu
boko haram,alshabub,alqueda nk