Hii ndo the most expensive fighter plane - USD 1 Trilion

Hii ndo the most expensive fighter plane - USD 1 Trilion

halafu Mkuu nawashangaaa sana hawa viongozi wetu, hakuna sababu ya kununua hii military mitumba! Mbadala wawekeze kwenye elimu badala ya kupiga vichwa matafali!

Umepatia sana mkuu, serikali za nchi za scandnavia zimewekeza kwenye Welfare ya watu wake ndo mana wapo juu sana.
 
Ndo maana Russia anaogopa ogopa sana.
B-2, F-22, F-35 zote radar evading ipo kubwa sana hapa kwetu zaweza kuwa zapita kila siku

Hata USA wenyewe wameshindwa kuziona ndege zao itakuwa wewe na kirada chako cha BAE tena used na tena mbovu.
 
huwezi kutuma Raptor au jointstrike kwenda kupambana na magaidi.

Hizo ndege ni special kwa nchi kama russia,korea,china,iran.

Joint strike ni multi purpose hasa kwa nia ya spying the opponent, inakuwa frontline inakusanya taarifa ili kuzisaidia ndege nyingine kuamua cha kufanya.
 
Ndo maana Russia anaogopa ogopa sana.
B-2, F-22, F-35 zote radar evading ipo kubwa sana hapa kwetu zaweza kuwa zapita kila siku
russia anazo system ya kutungua hayo makitu,wala hata haogipi kivile kwani hizo nchi mbili kupigana haiwezekani.
 
Hivi unacheza na tirlion moja usd?.

Mkuu umechanganya madesa, 1 trillion USD unafanya mchezo nini. Hiyo ni program ya project nzima. But navyosikia ndege hiyo moja inaweza kuwa kati ya 100M USD to 300M USD.
 
Mkuu umechanganya madesa, 1 trillion USD unafanya mchezo nini. Hiyo ni program ya project nzima. But navyosikia ndege hiyo moja inaweza kuwa kati ya 100M USD to 300M USD.

Okay. Nshaelewa
 
hivi na wanajeshi wakizungu huwa wanapasua matofali kwa kichwa ?
Hizi ndege haziuzwi nawanajeshi zinauzwa na wanasayansi wanaoweza kuvumbua,wanajeshi wanazitumia kupigana vita.
hapa cha kujiuliza ni kwamba,je maprofessor wa wa kizungu nao wanapigania serikali mbili?
 
attachment.php



Hii ndege tairi zake zote tatu ziko kwenye mstari mmoja ulionyooka au ni opticl illusion?
 
attachment.php



Hii ndege tairi zake zote tatu ziko kwenye mstari mmoja ulionyooka au ni opticl illusion?

Angalia vizuri, hizo tairi za nyuma kama zipo kwenye mabawa. Isingeweza kusimama kama tairi zote zipo katikati.
 
Ila hizi ndege zikipiga dar ni jivu tu kwa haya maghorofa ya kichina?
[video=youtube_share;IudSJE-TLxk]http://youtu.be/IudSJE-TLxk[/video]
 
In future of US Military Dogfighters sijui sisi tutafika lini na majigambo yetu na ndege kuu kuu za kichina mwee!
[video=youtube_share;WzYVKoZofF 0]http://youtu.be/WzYVKoZofF0[/video]
[video=youtube_share;mLJJh5N_JpM]http://youtu.be/mLJJh5N_JpM[/video]
 
Ila bado wanazitengeneza, nadhani ikifika 2025 hivi km sikosei ndio watakuwa wamekamilisha!
 
Ila bado wanazitengeneza, nadhani ikifika 2025 hivi km sikosei ndio watakuwa wamekamilisha! Na hizo nchi zimetoa order hakuna restriction ya kuwafanya wasiwauzie wengine. Ni gharama kubwa sana so kila nchi itakuwa imeweka order
 
Ila hizi ndege zikipiga dar ni jivu tu kwa haya maghorofa ya kichina?
[video=youtube_share;IudSJE-TLxk]http://youtu.be/IudSJE-TLxk[/video]

Hizo ndo za kazi, ni kama marcopolo ikiwa road

Hizi nyingine mbwembwe tu
 
Back
Top Bottom