Haya yanayotokea ni kuwa raisi ana practise exessive power aliyopewa na katiba na hakuna wa kumuwajibisha ,
Kama uliwahi kusikia moja ya pendekezo la katiba mpya hi kupunguza mamlaka ya raisi pamoja na kumjwajibisha in case akikiuka katiba ,
Tunayoya ona Kenya sasa yanashangaza Jaluo na kikiyu kukaa meza moja, Uhuru anajua kwa katiba waliyonayo akisndelea kumkumbatia Ruto anajiweka red zone