Hii ndiyo maana ya jina Lowassa

Hii ndiyo maana ya jina Lowassa

respect wa boda

JF-Expert Member
Joined
Nov 14, 2013
Posts
4,556
Reaction score
3,843
Wakuu Salaam, hebu shuka nami hapa kupata maana halisi ya jina Lowasa

L=Leadership

O=organization

W=with

A=ability and

S=Strong

A=Ambition.


Watu wanatembea na Nyota za Majina yao. Hivi nini Maana ya Magufuli?

BACK TANGANYIKA
 
lowassa- maana ni maringo na alipewa ilo jina kutokana na baba yake alikuwa na maringo,

amini usiamani- ndivyo hiyvo
 
Wakuu Salaam, hebu shuka nami hapa kupata maana halisi ya jina Lowasa

L=Ridership

O=organization

W=with

A=ability and

S=Strong

A=Ambition.


Watu wanatembea na Nyota za Majina yao. Hivi nini Maana ya Magufuli?

BACK TANGANYIKA

Mkuu unaonaje ungeiweka hivii...

L-Leadership

O-Organization

W-With

A-Ability of

S-Strong

S-System

A-Ambition

Naona kama itafiti vyema hapo!
 
Wewe niwa kuhurumiwa tu.

Huyo fisadi papa anaitwa Edward.

Lowassa ni jina la baba yake.

Bavicha at its best!
 
Wakuu Salaam, hebu shuka nami hapa kupata maana halisi ya jina Lowasa

L=Ridership

O=organization

W=with

A=ability and

S=Strong

A=Ambition.


Watu wanatembea na Nyota za Majina yao. Hivi nini Maana ya Magufuli?

BACK TANGANYIKA

Rider = mdowezi, mwabiriaji, mwendeshaji
Ridership = waudowezi, wauabiriaji, waundeshaji

Hivyo kama ulitaka kumpamba Lowassa hapa umemtukana, rekebisha!
 
12049570_514299432067884_5245248190605197515_n.jpg
 
lowassa- maana ni maringo na alipewa ilo jina kutokana na baba yake alikuwa na maringo,

amini usiamani- ndivyo hiyvo

What a coincidence

!! Jina hili na la yule waziri mkuu MAJIVUNO wa riwaya ya kusadikika ya Shabaan Roberts? Majina, nywele nyeupe,cheo, tamaa ya urais, nk. Goodness ni kuwa MAJIVUNO hakufanikiwa kuwa rais.
 
safi sana mkuu. ngoja timu lumumba nao waje watuambie jina la Magufuli lina maana gani.
 
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, MamaSamia Suluhu Hassan akimsalimia Katibu wa CCM mkoa wa MorgoroRojas Rumuli wakati wa mapokezi yake, alipowasili mkoani Morogoro kufanya mikutano ya kameni katika mkoa huo leo
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akimsalimia mgombea Ubunge Jimbo la Gairo, Sadik Murad wakati alipowasili mkoani Morogoro, kufanya mikutano ya kampeni mkoani humo.
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akiwapungua mkono wananchi waliofika kumlaki alipowasili mkoani Morogoro leo. Kulia ni Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dodoma, Adam Kimbisa na wapili ni Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Morogoro, Inocen Karogeresi
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM Mama Samia Suluhu Hassan akiwasili kwenye Uwanja wa Shule ya Msingi Gairo A, kuhutubia mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo la Gairo mkoani Morogoro.
Baadhi ya wananchi wakiwa na mabango kwenye mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika jimbo la Gairo leo.
Katibu wa CCM, mkoa wa Morogoro, Rojas Romuli akihutubia wananchi katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika viwanja vya shule ya msingi Gairo A katika jimbo la Gairo mkoani Morogoro
Mgombea Ubunge jimbo la Gairo Sadik Murad akihutubia wananchi atika mkutano wa kampeni wa Mama Samia uliofanyika leo katika jimbo hio mkoani Morogoro
Umati wa wananchi ukiwa umefurika kwenye Viwanja vya Shule ya Msingi Gairo A, wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika katika jimbo la Gairo mkoani Morogpro
Mwananchi akionyesha bango la kumfagilia Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM, Dk. John Magufuli wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo la Gairo mkoani Morogoro
 
Wakuu Salaam, hebu shuka nami hapa kupata maana halisi ya jina Lowasa

L=Leadership

O=organization

W=with

A=ability and

S=Strong

A=Ambition.


Watu wanatembea na Nyota za Majina yao. Hivi nini Maana ya Magufuli?

BACK TANGANYIKA



wewe acha uwongo
LOWASA means LOW HASA or lower hasa_______maana yake HAFAI CHOCHOTE, HANA UWEZO WOWOTE yaaaan ni mdhaifu kupindukia.
 
Wakuu Salaam, hebu shuka nami hapa kupata maana halisi ya jina Lowasa

L=Leadership

O=organization

W=with

A=ability and

S=Strong

A=Ambition.


Watu wanatembea na Nyota za Majina yao. Hivi nini Maana ya Magufuli?

BACK TANGANYIKA

noma sana
 
Hahaahaaa!...kumbe unalijua vyema jina la rais wa awamu ya 5 ila unaletaga KIBURI TU.

We Mpumbavu Nini?Kulijua Jina La Mtu Lazima Uwe Una Mkubali?Ina Maana Wewe Adui Zako Huwajui Kwa Majina?
 
Wakuu Salaam, hebu shuka nami hapa kupata maana halisi ya jina Lowasa

L=Leadership

O=organization

W=with

A=ability and

S=Strong

A=Ambition.


Watu wanatembea na Nyota za Majina yao. Hivi nini Maana ya Magufuli?

BACK TANGANYIKA

U :umoja wa
KA:kaskazini na
WA:wachaga
 
Back
Top Bottom