bernard10
JF-Expert Member
- Apr 2, 2021
- 410
- 731
Chanjo ni maandalizi ya kibaolojia yanayolenga kuchochea uwezo wa mwili kajitengenezea antibodies na immunity(kinga) zinazosaidia kukabiliana na ugonjwa husika bila yenyewe (chanjo) kusababisha ugonjwa.faida za chanjo Ni nyingi ukiacha yamuhimu kabisa ambayo nikuokoa maisha ya watu faida nyingine nikutengeneza pesa nyingi kwa watengenezaji na faida nyingine nyingi za kiuchumia na kijamii.
SIFA ZA CHANJO UNAYOTAKIWA KUTUMIA KISAYANSI
mwanasayansi msomi au mtu yeyote mwenye akili timamu atakubaliana na Mimi zifuatazo Ni sifa za chanjo watanzania waafrika au watu mahali popote duniani tunatakiwa kuzitumia kwafaida yetu kiafya.
1. USALAMA(chanjo yoyote inatakiwa kuwa salama kwamaana haitakiwi yenyewe iwe chanzo Cha magonjwa au kifo).
2. ULINZI DHIDI YA MAGONJWA HUSIKA.(chanjo yoyote ili iitwe chanjo lazima iwe na uwezo wakumlinda mtumiaji dhidi ya ugonjwa au magonjwa husika).
3. UWEZO WAKUFANYA KAZI MUDA MREFU; chanjo yoyote lazima iwe na uwezo wakumlinda mtumiaji kwa muda mrefu miaka 40, 50 au zaidi bila kumletea madhara kiafya yamuda mrefu au mfupi.
4. UWEZO WAKUSABABISHA AU KUCHOCHEA UTENGENEZAJI WA(T-cells); ambazo nimuhimu katika ulinzi wa mwili dhidi ya magonjwa.
5. ZISIWE na MADHARA KABISA KAMA KIFO N.K
Kama yatakuwepo basi ni madogomadogo na kwamuda mfupi.
6. GHARAMA STAHIMILIVU au ZAKAWAIDA (gharama zinategemeana na watengenezaji na sababu nyingine lakini chamuhimu zisiwe zakibiashara zaidi kuzidi lengo madhubuti lakuokoa maisha ya watu.
7. UWEZO WAKUSTAHIMILI MABADILIKO YA KIBAOLOJIA NA KIJIOGRAFIA.
Hizi ni baadhi ya sifa chache za muhimu ambazo chanjo yoyote salama inatakiwa iwe nazo.je chanjo ulizowahi kutumia zina sifa hizo?? Au Chanjo ya Covid19 ambayo ndiyo habari ya mjini inazo hizo sifa?? Kama inazo basi nashauri tuzitumie kwa usalama wa Afya zetu nakuacha kufuata mikumbo au mihemko.Asante.
SIFA ZA CHANJO UNAYOTAKIWA KUTUMIA KISAYANSI
mwanasayansi msomi au mtu yeyote mwenye akili timamu atakubaliana na Mimi zifuatazo Ni sifa za chanjo watanzania waafrika au watu mahali popote duniani tunatakiwa kuzitumia kwafaida yetu kiafya.
1. USALAMA(chanjo yoyote inatakiwa kuwa salama kwamaana haitakiwi yenyewe iwe chanzo Cha magonjwa au kifo).
2. ULINZI DHIDI YA MAGONJWA HUSIKA.(chanjo yoyote ili iitwe chanjo lazima iwe na uwezo wakumlinda mtumiaji dhidi ya ugonjwa au magonjwa husika).
3. UWEZO WAKUFANYA KAZI MUDA MREFU; chanjo yoyote lazima iwe na uwezo wakumlinda mtumiaji kwa muda mrefu miaka 40, 50 au zaidi bila kumletea madhara kiafya yamuda mrefu au mfupi.
4. UWEZO WAKUSABABISHA AU KUCHOCHEA UTENGENEZAJI WA(T-cells); ambazo nimuhimu katika ulinzi wa mwili dhidi ya magonjwa.
5. ZISIWE na MADHARA KABISA KAMA KIFO N.K
Kama yatakuwepo basi ni madogomadogo na kwamuda mfupi.
6. GHARAMA STAHIMILIVU au ZAKAWAIDA (gharama zinategemeana na watengenezaji na sababu nyingine lakini chamuhimu zisiwe zakibiashara zaidi kuzidi lengo madhubuti lakuokoa maisha ya watu.
7. UWEZO WAKUSTAHIMILI MABADILIKO YA KIBAOLOJIA NA KIJIOGRAFIA.
Hizi ni baadhi ya sifa chache za muhimu ambazo chanjo yoyote salama inatakiwa iwe nazo.je chanjo ulizowahi kutumia zina sifa hizo?? Au Chanjo ya Covid19 ambayo ndiyo habari ya mjini inazo hizo sifa?? Kama inazo basi nashauri tuzitumie kwa usalama wa Afya zetu nakuacha kufuata mikumbo au mihemko.Asante.