Hii Ndiyo CHADEMA 1992 - 2013

MUNGU Ibariki Tanzania,MUNGU Ibariki CHADEMA
 
Punguzeni uchaga chamani

Wanawake kama ninyi ni janga la kitaifa, na ni hatari kwa ustawi wa nchi. Wananawake wakikosa busara kama wewe, tunaanza kupata wasiwasi kwamba tutakuwa na taifa la watu punguani miaka ijayo... Mungu angekutia tu ugumba maana uzao wako unaweza ukarithi fikra zako na nchi ikaingia kwenye vita vikali vya ukabila na udini
 

Unasikitisha sana! Nyumba inaunguwa, mende wanatoka humo, panya wanakimbia humo, kuku wanahamia kwa jirani wewe bado uko humo? Makongoro Nyerere akiwa NCCR-Mageuzi mwaka 1995 viwanja vya Sokoine Mbeya!
 
sema mungu ibariki tanganyika.. wacha kututia tia na sisis kwenye hizo biashara zako...zanzibar tuko kivyetu.....

mko kivyenu mbona talaka hatujawapa bado.... eda mmemaliza lini???? nyie ni wake halali kwetu
 
mko kivyenu mbona talaka hatujawapa bado.... eda mmemaliza lini???? nyie ni wake halali kwetu
sasa mke ndo anaendesha kila kitu... ninaona sisi ndo tunawaburuza.. tunalolitaka sisi ndo linalokua.. it means sisi ndo mabwana sio.. hata kwenye nyumba nmatoka nyinyi kwani hata ikulu au bunge la tanganyika hamna au nionyeshe liko wapi,,,,,,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…