Hii ndio wizara inayomfaa mhe. Mwigulu Nchemba

Hii ndio wizara inayomfaa mhe. Mwigulu Nchemba

Status
Not open for further replies.
Hakuna cha ajabu wala kipya, Kwa Tanzania hii inayoongozwa na Raisi JK mbona inawezekana tu!!
 
nawasiwasi rais ajaye anaweza kukuta BOT Empty!!!uchaguzi 2015 unakuja halafu wamemuweka injinia hapo..heheheheeh..kiama!!

umeona eh, na mimi wazo langu ni kama lako na tena hapo watu wamejipanga kwa lala salama. tutegemee baada ya uchaguzi mwakani kufunga mikanda tena na safari hii sijui kwa miezi au miaka mingapi? Mungu ndiye ajuae hatma yetu
 
Mwigulu anaweza kuwa anafaa ila tatizo lake hana maadili.Kwa nchi kama china mwenye kosa kama hilo hunyongwa hadharani.
No kweli kabisa hana maadili kama baba yuko hivyo watoto wake watakuwaje!!?
 
Huyo bwana akipewa wizara hiyo nchi hii itawaka moto! Akili ya ku misuse vyombo vya usalama itakuwa kubwa sana, kwa sababu akiwa tu kiongozi wa chama amesha ingia kwenye vyombo vya usalam na kuviharibu, je akipewa kuviongoza?
 
Mwigulu anaweza kuwa anafaa ila tatizo lake hana maadili.Kwa nchi kama china mwenye kosa kama hilo hunyongwa hadharani.

ok, na mbowe kuzini dubai na asiye mkewe ni maadili eeeh!!!?
 
Cjui watamtoa kafara Ndulu kama walivyofanya kwa Balali....hiki chama kina laana saana.
 
nchemba ana experience ya kuvuruga usalama wa taasisi na watu walio kinyume na serikali ya ccm,kumfanya waziri wa mambo ya ndani ni sawa sawa na kubinafsisha wizara...hata hii aliyopewa ni tusi kwa walipa kodi kwa maana rafu atakayocheza itawaumiza na wasiokuwa wanachama wa chama chochote cha siasa!
jk kweli anachekesha,,yaani gaidi unampa wizara ya fedha??
 
kumpa nafasi kubwa kama iyo ni tusi kubwa kwa watanzania nimeamini ipo siku Diamond nae anaweza kuwa rais wa tanzania kila kitu kinawezekana chini ya ccm.
 
hivi hakuna sheria inayomkataza mtu kuiba jina la mwenzake?
kuna siku tanzania itaongozwa na rais ambaye anatumia jina la kuazima.
 
Mkuu, mbona mara zote unakuwa unawatetea akina Mbowe na Slaa wakati wao ni mfano mbaya kwenye jamii?

Mkuu Chabruma tuhuma juu ya Mbowe na Dr.Slaa kama zikithibitika na wao watakuwa hawafai..

Lakini kitengo nyeti kama hiki "Fedha"..Naibu mwingulu!!!..Hapana aisee

.Kwa Nafasi aliyopewa..labda abadilike..kitu ambacho ni kigumu kwa kiongozi yeyote kutoka CCM..
 
Last edited by a moderator:
Wakuu mnaonaje kuteuliwa kwa mhe. Mwigulu Nchemba kushika nafasi ya unaibu waziri wa fedha?

Licha ya mhe. Nchemba kuwa na taaluma inayohusiana na masuala ya fedha, lakini anaonekana ana experience kubwa na masuala ya usalama. hivyo kwa mimi binafsi napendekeza huyo mhe. apelekwe wizara ya mambo ya ndani, tena akaimu nafasi ya waziri kamili.

Nawasilisha.


On a sincere note, sijawahi kumsikia Mwigulu akiongelea mabo ya uchumi au kuonesha umahiri wake bungeni kuhusu uchumi zaidi ya kumsikia tu akipambana na chadema. mara kiongozi waupinzani ametoka na kimada mara sijui chadema imesababisha mauajai. Wixzra ya fada na kuikandia chadema sijui ni wapi na wapi? he is not a serious guy.
 
Ngoja niwahi kuingia ccm kumbe uwaziri unapata tu bila shida...kama ata wehu sembuse mimi..:sad:
 
hapo ndo ccm wameharibu yule chizi mwigulu mnampa cheo cha pesa ataenda kununua mabomu ya kuwaangamiza viongozi wa chadema
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom