Usalama gani unaouzungumzia ambao mwigulu anauzoefu nao, kuwatengezea Lwakatale kesi ya ugaidi, kumuamuru kamanda wa police Mbeya kutoa mafunzo kwa vijana wa ccm greenguard kwa ajili ya kuendesha mauaji dhidi ya Chadema kipindi cha uchaguzi, kutengeneza mipango ya kuteka watu na kuwang'oa kucha, meno, kuua na kutoboa watu macho, rejea mawasiliano ya email kati ya Nchimbi, Mwigulu Ya kimhusisha na msaliti Zitto, baada kifo cha Dr Sengondo mjumbe wa tume ya katiba mpya, au ni usalama gani unaousema wewe, angalia wizara yenyewe hiyo aliyopewa, hakuna watu hapo kuanzia huyo mdada ambaye ndiye waziri wa fedha, lengo la ccm nikuta kuchukua fedha kiurahisi, na zingine kuingiza kwenye chama.