Halafu ndio ujue kwamba hii misukule ya Chakubanga ilishaondolewa ubongo maana haisomi kitu wao wakipewa ni kuleta kama zilivyo.Nimeishia hapo kwenye bomba la mafuta kukamilika 2020.
mitano tena asubui tu mpaka saa nne magufuli atakua anaongoza kwa asilimia 90
Yap tunachagua kiongozi na siyo mtawala, tumechoka kuswagwa kama mifugoTunakwenda na Lissu
Arudi na baba akeHahaha hivi hakuna aliyempelekea Gwajima a.k.a Chid boy?!
Akianza kulia, nileteeeeeeeeni Gwajima lazima tumrudishe chato.
Ukiona unaswagwa ujue wewe sio binaadamu kamili. Tunaojielewa tunamuelewa JPM vyema kabisaYap tunachagua kiongozi na siyo mtawala, tumechoka kuswagwa kama mifugo
Mnakwenda nae wapi, ubelgiji?Tunakwenda na Lissu
Mpuuzi wewe wenye chama wanajengewa nyumba wewe upo kwenye chumba kimoja cha kupanga na watoto wako 4, utakula mihogo mpaka ufe, watoto wako wenyewe wanakiliba tumbo lishe duni. Endelea kushangilia matatizoUkiona unaswagwa ujue wewe sio binaadamu kamili. Tunaojielewa tunamuelewa JPM vyema kabisa
Hahaha Magufuli ataishi na Gwajima.Mnakwenda nae wapi, ubelgiji?
Tusisahau formula ya Lubuva. Formula ngumu zaidi ya equation ya schrodinger!mitano tena asubui tu mpaka saa nne Magufuli atakua anaongoza kwa asilimia 90