Hii ndio raha ya kutongozana kanisani

Hii ndio raha ya kutongozana kanisani

DAKA MTUMBA

JF-Expert Member
Joined
Aug 4, 2014
Posts
1,288
Reaction score
805
Jamaa kanisani yupo karibu na mrembo:

Jamaa: Dada mi nakupenda sana
Mrembo:Kaka naomba tumsikilize mchungaji
Jamaa: Nipe nafasi uwe mtawala wa serikali ya moyo wangu
Mrembo: Kaka niache nisali
Jamaa: Mi nakupenda sana kuliko hata maisha yangua
Mrembo: Kwa hasira akasema kwa nguvu, "nimesema niache".

Watu wote kanisani wakageuka kuwaangalia. Jamaa naye akasema kwa sauti ya juu zaidi, "sikuachi mpaka ukubali kuwa Yesu ni Bwana Mwokozi wa maisha yako!!"

Watu wote: Ameeen!, usicheke..., hiyo imetokea.
 
Duh!hii ndo ya mchungaji mchaga anakemea pepo litoke pepo likakataa na kusema linataka limpe utajiri mgonjwa mchungaji ikabidi aliambie pepo toka kwake uje kwangu.
 
dah! usingekataza kucheka wangenibeba asee! koz huyo mjomba ni mbunifu hataree!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom