Hii ndio Marekani miaka ya 1800

bushland

JF-Expert Member
Mar 6, 2015
7,016
4,961
C__Data_Users_DefApps_AppData_INTERNETEXPLORER_Temp_Saved Images_images(1).jpg
C__Data_Users_DefApps_AppData_INTERNETEXPLORER_Temp_Saved Images_images(3).jpg
C__Data_Users_DefApps_AppData_INTERNETEXPLORER_Temp_Saved Images_images(1).jpg C__Data_Users_DefApps_AppData_INTERNETEXPLORER_Temp_Saved Images_images(3).jpg
C__Data_Users_DefApps_AppData_INTERNETEXPLORER_Temp_Saved Images_images(3).jpg
C__Data_Users_DefApps_AppData_INTERNETEXPLORER_Temp_Saved Images_images(5).jpg
C__Data_Users_DefApps_AppData_INTERNETEXPLORER_Temp_Saved Images_images(5).jpg
C__Data_Users_DefApps_AppData_INTERNETEXPLORER_Temp_Saved Images_images(6).jpg
C__Data_Users_DefApps_AppData_INTERNETEXPLORER_Temp_Saved Images_images(8).jpg
je sisi wakati huu WA sasa tunaweza jilinganisha na wao kwa wakati huo?
 
Usijali sie ndio tulioijenga(tulikua vijakazi wao)
Exactly brother...America found in blood,and build in slave...our ancestors were involved and participated to build America,today indirectly we should enjoy the cake that had been left by our fore farther.:eek::eek:
 
Wenyewe wamepata tabu kuijenga nchi yao halafu cc tinakimbilia tu tulifukuzwa tinalalamika
wakumbeke lakini america ni taifa lisilikuwa na mwenyeji,maana walishawatimua na kuwaua,sasa naona hao weupe wanataka kuwa wabaguzi,hususani kwa ngozi nyeusi...kila mtu mgeni pale,hata huyo anayejenga ukuta si kwao,nae arudi kwao.:D:D:D
 
we umeona kuna ngozi nyeupe hapo shambani, leo wanaletewa dhuluma hata yule mkulima aliyekuwa shambani siku zileeeeeeeeeeeee,,,,,
 
Walikua wanachukua nguvu kazi na rasilimali kutoka kwetu kwenda kwao huku wakitizuia kusoma kututengeneza makundi kati yetu karibu 200 tunawajengea nchi zao tu unadhani tutawakuta lini? Kwa gape hili walipoondoka wakatuachia ubepari kiongozi akiingia madarakani anawaza tumbo lake kwanza makundi ya dini wasomi na wasiosoma hapa unapata civil war ili tusijikongoje tukawakuta Mimi naamini hapa tulipo kwa kiasi kikubwa ni athari ya mkoloni
 
Usijali sie ndio tulioijenga(tulikua vijakazi wao)
Kwanini nisijali kama farasi ,punda na machine walifanya kazi hizohizo kwa ufanisi zaidi? Km kwelinyie ndio mlijenga mbona hamkuwa na zenu huku kabla ya kuondoka.
 
Iliyobaki kujifunza Yale mazuri kutoka kwao. Wanaipenda nchi yao kwa moyo wao wote na wamepanga kuijenga by hooks or by crooks. Hakuna mambo ya kutetea kuchuma pesa za wananchi na kupeleka India au Canada nk
 
Kisebengo kibobori kwani nilikujibu wewe
Kwanini nisijali kama farasi ,punda na machine walifanya kazi hizohizo kwa ufanisi zaidi? Km kwelinyie ndio mlijenga mbona hamkuwa na zenu huku kabla ya kuondoka.
 
kiuhalisia marekani ni black land ila ndo mambo yamegeuka na kuwa white land.. si ni nin kifanyike hawa wazungu waje kutuheshimu.....so sad
 
Back
Top Bottom