Hii ndio logic ya kumuomba Lucifer: It is very very reasonable

Midu was something else
 
Msaada wa Lucifer kwa wanadamu ni kama chambo kwa samaki, lengo ni kumkamata mwanadamu. Msaada wa kweli kwa mwanadamu unatoka kwa Yesu Kristo.
Yesu Kristo, Bwana wa mabwana, Mungu wa miungu, Mfalme wa wafalme, aishiye milele!


JESUS IS LORD&SAVIOR
 
Da!!! bora nimuombe MUNGU tu!!
 
Na wale majini wazuri wako upande gani
 
MUNGU anajibu wakati atakao,MUNGU anatoa mitihani mikubwa na midogo kwako kupitia shetani kama ilivokuwa kwa AYUBU, kama alivompa mtihani IBRAHIM wa kumchinja mwanae baadae akabatilisha maamuzi,ujue shetani anafika mpaka mbunguni kutushitaki[alimshtaki AYUBU],,,aliruhusu YESU KRISTO MNAZARETI ateswe,lakini baadae akamfufua,,,shetani alimlaghai YESU kwamba akimsujudia yeye atampa kila kitu[yaani YESU amsujudie shetani-ndo mwanzo wa freemason huo,,,,yaani ukiingia freemanson unamwadu shetani na baada ya hapo kila ki2 kinakua shwari!!!----yaani unauza roho yako kwa maisha mafupi ya hapa duniani then akhera unaenda motoni}-----kimsingi,SHETANI anakusaidia faster ukimtii kwa sababu anataka kampani siku ya kiama na pia anakusaidia faster kwa sababu yeye amepewa kibali cha kutujaribu!!!...sasa ktk kutujaribu kwake na mitihani anayotupa,anataka RUSHWA ili akuepushe na shari lake,rushwa yenyewe ni KUJISALIMISHA KWAKE!!!,lakini ujue utafurahi kwa muda tu wa uhai wako,lakini ukifa,utateseka maisha yako yote huko!!
 
Nipe connection ya kumuomba lucifer nimechoka kupeleka kesi polis nami nataka nimuone hamidu matembo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…