Malaria Sugu na Dar Es Salaam inawafaa mahakama ya kadhi.
Kwenye katiba mpya lazima mahakam ya qadhi iwemo vinginevyo haipiti
Malaria Sugu na Dar Es Salaam inawafaa mahakama ya kadhi.
Ni habari nzuri sana kama MS wamem ban! Nimepost thread moja ya kuomba watu kama hawa wafungiwe kabisa wasitake kutuchanganya!
Kwa hiyo, kuongelea watu ndo ujanja au?Rev, kuanzia leo ni swahiba yangu, hiyo misifa ulionipa yaani nakuwa Mister Misifa kuliko ZK.
Lakini kwa nini hamkubali kuwa mnam-miss Malaria Sugu?
Na ingekuwa hanum miss msingemuongelea sana kiasi hiki, yaani humu JF wanaoongelewa sana ni Zitto wa kwanza wa pili Malaria Sugu.
MS ni kiboko yenu.
Mkuu nasikia alikuwa kifungoni kurejea mwezi ujaoMalaria sugu mara chache sana huchangia threads zilizoanzishwa na wengine rather yeye hupenda kuanzisha threads zake ambazo huwa zinaamsha hisia za wengi hivyo kujibiwa sana. probably wanaomjibu majority watakuwa ni wakristo. huwa standby ku-respond propmtly maana anajua fika amepiga mzinga wa nyuki. Threads zake nyingi huwa za kidini zenye mwelekeo wa kuonyesha kukandamizwa kwa waislam na/au kupendelewa kwa wakristo. Nimefikiri sana juu ya hili yaani what could be his motives behind posting his threads here in JF na kupata idea ifuatayo. Kwamba atakuwa anawa-provoke wakristo ili kukusanya views zao kwa matumizi anayoyajua yeye au kwa maslahi ya kikundi fulani kinachomtuma kwa maslahi yao. so nashauri, wanaokuwa provoked na threads wampuuzie. nahisi anapata faida sana kwa reply zenu....apuuuzwe au apewe majibu ya kipuuzi.
nawasilisha!!!
Malaria sugu mara chache sana huchangia threads zilizoanzishwa na wengine rather yeye hupenda kuanzisha threads zake ambazo huwa zinaamsha hisia za wengi hivyo kujibiwa sana. probably wanaomjibu majority watakuwa ni wakristo. huwa standby ku-respond propmtly maana anajua fika amepiga mzinga wa nyuki. Threads zake nyingi huwa za kidini zenye mwelekeo wa kuonyesha kukandamizwa kwa waislam na/au kupendelewa kwa wakristo. Nimefikiri sana juu ya hili yaani what could be his motives behind posting his threads here in JF na kupata idea ifuatayo. Kwamba atakuwa anawa-provoke wakristo ili kukusanya views zao kwa matumizi anayoyajua yeye au kwa maslahi ya kikundi fulani kinachomtuma kwa maslahi yao. so nashauri, wanaokuwa provoked na threads wampuuzie. nahisi anapata faida sana kwa reply zenu....apuuuzwe au apewe majibu ya kipuuzi.
nawasilisha!!!
Mkuu nasikia alikuwa kifungoni kurejea mwezi ujaoMalaria sugu mara chache sana huchangia threads zilizoanzishwa na wengine rather yeye hupenda kuanzisha threads zake ambazo huwa zinaamsha hisia za wengi hivyo kujibiwa sana. probably wanaomjibu majority watakuwa ni wakristo. huwa standby ku-respond propmtly maana anajua fika amepiga mzinga wa nyuki. Threads zake nyingi huwa za kidini zenye mwelekeo wa kuonyesha kukandamizwa kwa waislam na/au kupendelewa kwa wakristo. Nimefikiri sana juu ya hili yaani what could be his motives behind posting his threads here in JF na kupata idea ifuatayo. Kwamba atakuwa anawa-provoke wakristo ili kukusanya views zao kwa matumizi anayoyajua yeye au kwa maslahi ya kikundi fulani kinachomtuma kwa maslahi yao. so nashauri, wanaokuwa provoked na threads wampuuzie. nahisi anapata faida sana kwa reply zenu....apuuuzwe au apewe majibu ya kipuuzi.
nawasilisha!!!
Malaria sugu mara chache sana huchangia threads zilizoanzishwa na wengine rather yeye hupenda kuanzisha threads zake ambazo huwa zinaamsha hisia za wengi hivyo kujibiwa sana. probably wanaomjibu majority watakuwa ni wakristo. huwa standby ku-respond propmtly maana anajua fika amepiga mzinga wa nyuki. Threads zake nyingi huwa za kidini zenye mwelekeo wa kuonyesha kukandamizwa kwa waislam na/au kupendelewa kwa wakristo. Nimefikiri sana juu ya hili yaani what could be his motives behind posting his threads here in JF na kupata idea ifuatayo. Kwamba atakuwa anawa-provoke wakristo ili kukusanya views zao kwa matumizi anayoyajua yeye au kwa maslahi ya kikundi fulani kinachomtuma kwa maslahi yao. so nashauri, wanaokuwa provoked na threads wampuuzie. nahisi anapata faida sana kwa reply zenu....apuuuzwe au apewe majibu ya kipuuzi.
nawasilisha!!!
Malaria Sugu alikuwa akichangamsha JF. Kuna wakati alienda magazetini kulalamika kwamba anaonewa JKF kwa kupigwa ban.Mkuu nasikia alikuwa kifungoni kurejea mwezi ujao
Pia alihamia kwenye forum ya Kubenea na yeriMalaria Sugu alikuwa akichangamsha JF. Kuna wakati alienda magazetini kulalamika kwamba anaonewa JKF kwa kupigwa ban.
Malaria Sugu alikuwa akichangamsha JF. Kuna wakati alienda magazetini kulalamika kwamba anaonewa JKF kwa kupigwa ban.