Hii ndio janja ya heslb au?

Hii ndio janja ya heslb au?

ravinder

Member
Joined
Oct 31, 2016
Posts
29
Reaction score
10
watu wengi nikiwemo mm nlijaribu ku login kwenye account yangu ili kuona kujaza hilo dodoso lakini cha ajabu naambiwa niingize neno lilopo below lakin cjafanikiwa kwa maana inagoma login ..sasa nauliza hivi kama itagoma kufunguka mpaka muda ukaisha c ndio hauna chako? au huu ni mpango mahususi wa kupunguza wanufaika kwani wamesema bila kujaza utakuwa umekosa sifa?
 
Ukiingia kwenye account sio kwambaaa ndo una apply upya bali unahakiki data zako kama ni za kweli ama zilikosewa wakat wa kujaza mara ya kwanza cha muhim we angalia zile form za mikopo ulizotoa kopi kablaya kutuma bodi ya mikopo kama zina taarifa kamili ama ulidanganya wewe mwenyewe nadhan majibu unayo kama ulijaza ukweli wait second batch usiwe na wasiwasimtapata mwombeee mungu
 
Ukiingia kwenye account sio kwambaaa ndo una apply upya bali unahakiki data zako kama ni za kweli ama zilikosewa wakat wa kujaza mara ya kwanza cha muhim we angalia zile form za mikopo ulizotoa kopi kablaya kutuma bodi ya mikopo kama zina taarifa kamili ama ulidanganya wewe mwenyewe nadhan majibu unayo kama ulijaza ukweli wait second batch usiwe na wasiwasimtapata mwombeee mungu
Lugha gongana,any way
 
babd3d4ebbe6f997eb08f6ad7253b266.jpg
 
Kuna dogo langu yupo mwaka wa pili,naye kasahau kabisa data zake za kulog in. Anachokumbuka ni namba yake ya form 4,password haijui wala M-PESA transaction code kwa ajili ya kureset password ndo hajui hata inaanzia na ngapi! Mbutaah!
 
Ukiingia kwenye account sio kwambaaa ndo una apply upya bali unahakiki data zako kama ni za kweli ama zilikosewa wakat wa kujaza mara ya kwanza cha muhim we angalia zile form za mikopo ulizotoa kopi kablaya kutuma bodi ya mikopo kama zina taarifa kamili ama ulidanganya wewe mwenyewe nadhan majibu unayo kama ulijaza ukweli wait second batch usiwe na wasiwasimtapata mwombeee mungu
Huyu sijui ameelewa vipi?? Watu wengine bhana..
 
Nimejaribu kurecovery nywila yangu ila ngoma nzito wananipa maneno fulani alafu wanasema niyakeep safe tu duh
 
Mnaoingia inagoma bila shaka mmetumua link ya maswayetublog!!! Uyu jamaa anatafuta pesa ko iyo code inayokuja apo utabadilishiwa mpaka mwakakesho ila haifunguki mpaka utume ako ka buku! Nyie ingieni heslb mazima mi mwenzenu naambiwa not allocated in the first batch ko naweit second mana chuo chenyewe nimepata 4th round! PCB, Bsc ED ka open university ntafanyaje salsa!!!!!!!!
 
Mkuu weka I baada ya F halafu soma inasemaje??😛😀😀😀😀

Kwa nini uongeze herufi ambazo hazipo? Acha fikra potovu...Yani wewe jinsia yako ni " MALE " halafu tu aje aongeze FE mwanzo na alazimishe kuwa wewe ni FEMALE ? ..be positive always
 
Kwa nini uongeze herufi ambazo hazipo? Acha fikra potovu...Yani wewe jinsia yako ni " MALE " halafu tu aje aongeze FE mwanzo na alazimishe kuwa wewe ni FEMALE ? ..be positive always
Kukosa mkopo ndio imekufanya uwe na akili za kishoga


Ndukiiiii

Sent from my SAMSUNG-SM-G900A using JamiiForums mobile app
 
1477984377507.png


Mimi nime login,, wananiletea hivi

Msaada tafadhali
 
Back
Top Bottom