Hii ndio hatari inayomkabili Pinda bungeni

Hii ndio hatari inayomkabili Pinda bungeni

ukiwa na PM mchemfu kama MP ni mwanzo wa kuangamia kwa taifa

- Alihalalisha wananchi kupigwa na polisi akaokolewa na cheo kama dhamana
- Alihalalisha waua albino kuuawa bila hukumu akaokolewa kwa kulia mpaka machozi bungeni
- Alisema rais amepitisha nyongeza ya posho za wabunge rais huyohuyo aliyemteua akakanusha kana kwamba alikurupuka bila kuwasiliana na rais
- Leo hii ana lazimisha ESCROW kupelekwa mahakamani ili asiwajibishwe kama mzee wa maamuzi magumu

huyu jamaa kweli hatufai hata kuwa mbunge wa jimbo lolote, inaonekana amewekwa pale kuficha maovu ya wanyonyaji wakati yeye anajiita mtoto wa mkulima asiye na tamaa na muadilifu
 
Nchi hii yaani hakuna kufawajibika na kufanya kazi kwa maslahi ya taifa. Ni kuumbuana na kutafuta maescrow, Richmond, EPA etc.
Shameful Tanzania
 
Huyu Pinda haweza hata umwenyekiti wa kitongoji coz hawezi kutoa maamuzi....toka aanze kuongoza ofisi ya Waziri Mkuu hakuna mabadiriko ambayo ni tangible lakini tumeendelea kuona wananchi kuonewa (tokomeza) na hata halmashauri kukosa pesa ....na kufanya wananchi kuendelea kukamuliwa katika michango.

Ntakuwa wakwanza ktk kupigilia msumari wa jeneza la Pinda hafau hata kuwapo duniani

lakini tunakosea,JK ni problem,ataondoka na ccm,wakati umefika sasa kwa ccm kuwa Historia.
 
ni ufinyu wa akili za hawa watu wao wanadhani kuwa waziri mkuu wakati escrow wanalipwa ni kigezo tosha cha kujiudhuru uwaziri Mkuu mtangoja saaana kwa akili hizo
Please, next time remember to punctuate. Sijakuelewa kwa kifupi my lovely sister
 
Back
Top Bottom