Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,621
- 27,567
- Thread starter
- #41
Hahahahahaja Hornet halaf sikuoni kule chinii hudhuria basi kuna mavitu mengiiKumbe wewe ni shemale!!!
Hahahahahaja Hornet halaf sikuoni kule chinii hudhuria basi kuna mavitu mengiiKumbe wewe ni shemale!!!
Mkuu Mimi pia ni ke nasemea kwa wale wenye mawazo butu kama tukinaoKwa hiyo hatuwezi kuzaa kwa mapenzi binafsi tunazaa kuwafurahisha nyinyi?
Nimuonee huruma nini hakuonaga wema alivyodhalilishwa nae akajipeleka kwa mbwembwee,ukishaona mwanaumr anadhalilisha mwanamke jua nawe yatakukuta siku mojaMmmmmh nilidhani utamuonea huruma mwanamke mwenzio duuu!
Kwani wew ni meNdio hivyo mnazaa kutukomoooaaa,,nikomoe basii uzae hata watoto wawili
Aaah nimeachwa sasa nawaza nikipata nyege ntazipeleka wapi na vidole vishachokaHahahahahaja Hornet halaf sikuoni kule chinii hudhuria basi kuna mavitu mengii
Vyovyote tu mpenzi natumia vyoteeKwani wew ni me
Si vidole vipo na mimi nipo wala usijalio,ndio maana unapaogopaAaah nimeachwa sasa nawaza nikipata nyege ntazipeleka wapi na vidole vishachoka
Huyu bibi ana laana kama aliweza acha mwanaume alozaa nae 3 children for 12 cdhan kama angeweza kwa dKabisa halaf eti BBC alilia lakini kwa msiba wa mama yake hakulia ati
Kabisa najua huko analiaa jamani na navyojua diamond na yale maunooo ya kingoni kama ya mme wangu uwiiiHuyu bibi ana laana kama aliweza acha mwanaume alozaa nae 3 children for 12 cdhan kama angeweza kwa d
Na yeye akaja juu na kumchamba mwenzie eti haijui labourwod sasa yeye kaishia wapi nyooko,,hapo ndo tunaambiwaga wanawake wrote hatuna akili kumbe ni wapumbavu wachacheNimuonee huruma nini hakuonaga wema alivyodhalilishwa nae akajipeleka kwa mbwembwee,ukishaona mwanaumr anadhalilisha mwanamke jua nawe yatakukuta siku moja
Kajivunia kuwa incubator wanawake sie bana dudu huwa zinachanhanya akilo ukija shtuka muda umeendaNa yeye akaja juu na kumchamba mwenzie eti haijui labourwod sasa yeye kaishia wapi nyooko,,hapo ndo tunaambiwaga wanawake wrote hatuna akili kumbe ni wapumbavu wachache
Hebu nieleweshee mpenzihahahaahahha zari atakuwa na yeye kama diamond tu.tena zari ni zaidi maana hadi kipindi aliachana na avani kwa ajili ya ku cheat
Na wanaooongoza kwa kuroga ni wanawakewanawake mmetuzaa tuu lkn mnaongoza kwa roho mbaya
HakikaaNa wanaooongoza kwa kuroga ni wanawake
kuna clip moja ilizagaa sema sidhani kama itakuwepo ivan alikuwa ana msema zari the way alivyo kuwa mwepesi ku cheat na kuji show off kwa wanaume ambao wengi walikuwa marafiki wa ivan. na hasa alikuwa ana cheat kipindi akienda root zake za nje na nyingine ilikuwa hapo ug (jina limenitoka). na kuna siku ivan alikuwa south alikuja kwa suprise UG na alikuwa anawasiliana na zari na zari alisema yuko ug kumbe kasha ruka DUBAI mda sana sasa alivyo fika ivan home akakuta watoto akapiga nao picha akaandika maneno kuwa "mama yuko ndani anapata break fast" ndo chanjo cha ugomvi wao hasa na mengine kibao hadi kile kipindi cha kumzaba makofi club. stroy ndefu sema ku typeHebu nieleweshee mpenzi