Hii ndio dawa ya mwanaume mbeya.

Hii ndio dawa ya mwanaume mbeya.

sijui hii ni dawa au ujinga au ushababi au kutuonesha u lijali au utuonesha unapenda masugar mami sijui nini tu?
Laana, unamuonyesha mwanawe ili iweje? huyo mama nae ni walewale.
 
Shingongo nadhani huwa anapita humu ataichukua akaiongezee nyama kidogo
 
umeniwahi mkuu

Hoja yake inaweza kuwa toafuti na yako. Bigbro aliuliza kuhusu umri wangu akiwa na lengo la kutaka kujua toafuati ya miaka iliyopo kati yangu na huyo shuga mami. What about u broda?
 
Laana, unamuonyesha mwanawe ili iweje? huyo mama nae ni walewale.

Ili akaseme kwa watu kwamba amenikuta gheto na mama yake. kwa sababu tabia ana tabia ya kusema sana kuhusu stori za watu
 
Shingongo nadhani huwa anapita humu ataichukua akaiongezee nyama kidogo

Mbona mnadhihaki hivyo Shigongo? Do u think u better than him? Acheni hizo bana, shigongo anaingiaje hapo kwenye huo uzi
 
Ndio nakwambia sasa mjomba ulitakiwa kusema FOOLISH AGE na sio FOOL AGE. Anyways, i cant say ur wrong brother. U might be very right, tunatofautiana mitazamo na jinsi ya kutoa maoni hapa JF. Ninge apreciate sana kama ungestick kwenye hoja iliyopo mezani kuliko ku attack personality kama ulivyo fanya wewe. With much respect and appreciation
Hivi hujishangai kila mtu anakishangaa ulichokifanya kwa namna yake?
 
Hoja yake inaweza kuwa toafuti na yako. Bigbro aliuliza kuhusu umri wangu akiwa na lengo la kutaka kujua toafuati ya miaka iliyopo kati yangu na huyo shuga mami. What about u broda?

ulichopost is the highest level of stupidity. Ndiyo maana tunataka kujua umri wako. Mwenye umri kuanzia 25yrs hawezi kuwa mjinga kiasi hicho...how would you feel if she was your mother?
 
ulichopost is the highest level of stupidity. Ndiyo maana tunataka kujua umri wako. Mwenye umri kuanzia 25yrs hawezi kuwa mjinga kiasi hicho...how would you feel if she was your mother?

Nimeweka sentensi inasema " Vijana wa kitanzania washauriwa kuanzisha vikundi vya ujasiriamali ". Halafu mtu anatoa maoni yake kuhusu neno " kuanzisha" , meaning katika sentensi yote ameona neno " katika ". Coming back to u " Yaani katika maelezo yangu yoote, wewe umeona neno " mother !" tu, maneno mengine ya kwenye uzi wangu hujayaona?. Hujaona kuhusu tabia za umbeya wa huyo jamaa and all that? Vipi mjomba?
 
ulichopost is the highest level of stupidity. Ndiyo maana tunataka kujua umri wako. Mwenye umri kuanzia 25yrs hawezi kuwa mjinga kiasi hicho...how would you feel if she was your mother?

The Devil should not be treated gently........Smith Wigglesworth
 
Nimeweka sentensi inasema " Vijana wa kitanzania washauriwa kuanzisha vikundi vya ujasiriamali ". Halafu mtu anatoa maoni yake kuhusu neno " kuanzisha" , meaning katika sentensi yote ameona neno " katika ". Coming back to u " Yaani katika maelezo yangu yoote, wewe umeona neno " mother !" tu, maneno mengine ya kwenye uzi wangu hujayaona?. Hujaona kuhusu tabia za umbeya wa huyo jamaa and all that? Vipi mjomba?
Tunachokushangaa ni kudhani m'mbeya anafanyiwa hivyo... Si ukawaone akina gear Habibu wakusaidie kumsuta..?? Wenzio huwa tunawafesi uso kwa uso na kuwaeleza wakifanyacho si sahihi.. Sasa wewe unadhani hicho ulichokifanya ni kufikiri nje ya box... A fool always flatters himself,
 
Tunachokushangaa ni kudhani m'mbeya anafanyiwa hivyo... Si ukawaone akina gear Habibu wakusaidie kumsuta..?? Wenzio huwa tunawafesi uso kwa uso na kuwaeleza wakifanyacho si sahihi.. Sasa wewe unadhani hicho ulichokifanya ni kufikiri nje ya box... A fool always flatters himself,
Ndo maana nikasema ninafikiria nje ya box unalo fikiria wewe. Mi nadhani wewe utakuwa sio rizki u know y? kwanza matusi! mtoto wa kiume kutukana tukana na matusi ni dalili ya kutokuwa rizki, halafu pili kunishauri niende nikamuone Gea Habib anisaidie kumsuta. Kumbe nilikuwa napoteza muda wangu ku argue na kuchu? Mtoto wa kiume unaweza vipi kutoa ushauri wa ki khanithi kama huu!!!
 
Ndo maana nikasema ninafikiria nje ya box unalo fikiria wewe. Mi nadhani wewe utakuwa sio rizki u know y? kwanza matusi! mtoto wa kiume kutukana tukana na matusi ni dalili ya kutokuwa rizki, halafu pili kunishauri niende nikamuone Gea Habib anisaidie kumsuta. Kumbe nilikuwa napoteza muda wangu ku argue na kuchu? Mtoto wa kiume unaweza vipi kutoa ushauri wa ki khanithi kama huu!!!
..... na hapa ndo naishia kuchangia kwenye michango yako ndani ya hii thread...
 
MKUU KWA WALE AMBAO BAHATI MBAYA HAWANA MAMA INAKUWAJE? AU AMBAO MAMA ZAO WANAJIHESHIMU. Manake sieleewii
 
Mbona mnadhihaki hivyo Shigongo? Do u think u better than him? Acheni hizo bana, shigongo anaingiaje hapo kwenye huo uzi

Eeeh ww dume halafu unatumia 'bana' watu8 njoo umpe somo
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom