Hii ndio CCM

Hii ndio CCM

Inawezekana sawa na kweli unataka mabadiliko...hapo nakuunga mkono...mabadiliko ni muhimu saana maishani kwetu,...je umefikiria pia pa kupatia mabadiliko????? unadhani mtu unayemuwaza akilini mwako kweli ataleta mabadiliko?? tutafakari na tuache kufwata mikumbo!

Kuchagua chama kimoja miaka yote then utegemee matokeo tofauti ni UPUMBAVU tunaposema CCM tumewachoka cz mmeongoza hii NCHI kwa muda mrefu tunawashukuru wacha tufanye kitu kingine nao wakizingua tunaweka Pembeni lkn kuwaambia watu waendelee kuchagua CCM hadi sasa nikuwadharau watu kwamba hawana AKILI yakujua jema na Baya
 
nchi isiyokusanya kodi ni nchi corrupt.... dunia yote watu wanalipa kodi,,, bila kodi serekari itajiendeshaje?

Kama ilivyo corrupt Tanzania chini ya ccm. Wafanyabiashara wakubwa ambao wengi wao pia ni viongozi wa umma hawalipi kodi, faini za makosa barabarani zinakusanywa na askari ambaye ujuzi wake ni kubeba silaha na hatoi risiti, badala ya kukusanya kodi misamaha ya kodi inashika chati na upuuzi mwiiingi. Ila kodi za wanachi wa mataifa mengine ccm na serikali yenu mnazishobokea, eti ''Unapoenda kuomba siyo kwamba wewe unapenda tu kuomba. Huko nje kuna mataifa yenye hela nyingi tu, unachotakiwa ni kujieleza, wakikuelewa watakupa" utafikiri kwa wenzetu hizo hela zinanyesha kama mvua.
Leo nakwenda kulala Jangwani kwenye matanga ya CCM. Ndiyo, wamekufa mitume ishindikane ccm!!!!!
 
Ndugu Wana jamvi,wakati tukiendelea kuuguza jeraha la upumbavu,leo nimethibitisha kweli ilikuwa haki yetu kuitwa wapumbavu maana madhara yanayo kuja yana tuhusu sote.sasa sisi tunao taka kujikomboa tunaonekana wajinga lakini kuanzia tarehe 01/09/2015 WATATUELEWA kwanini tulikuwa tunalilia ukombozi.

TANZANIA REVENUE AUTHORITY wame Introduced kodi mpya inayo julikana kama RAILWAY LEVY,hii kodi inatakiwa ilipwe pindi tu mzigo/meli inapoingia KOJ.Kodi hiyo inakatwa 1.5% ya mzigo na mwisho wa siku mwananchi ndio anae teseka tujiandae kwa bei mpya ya mafuta.

Swali linakuja kwenu wa ndugu hivi mnadhani hayo ndiyo maisha bora kila mtanzania? Je kwanini tusitake ukombozi mpya wa kuepukana na madhira haya mnayo tutesea?

YOTE KWA YOTE NGINJA NGINJA HADI BAHARINI TUNAZAMA WOTE WANA CCM NA WAPUMBAVU.

25/10/215,ASUBUHI NA MAPEMA TWENDENI TUKAFANYE MAAMUZI MAGUMU.

URAIS:EDWARD NGOYAI LOWASA
UBUNGE SEGEREA:JULIUS MTATIRO,
WABUNGE MIKOANI:WANAO WAKILISHA UKAWA KUPITIA,CHADEMA,CUF,NCCR MAGEUZI,NLD.


Chapa kazi, chapakazi acha kulalamika kuwa mbunifu na utafaidika na mfumo uliopo,kwa bahati mbaya walio wengi tumelelewa na mfumo wa ujamaa kwa hiyo tupo kiutegemezi utegemezi.......................
 
Ndugu Wana jamvi,wakati tukiendelea kuuguza jeraha la upumbavu,leo nimethibitisha kweli ilikuwa haki yetu kuitwa wapumbavu maana madhara yanayo kuja yana tuhusu sote.sasa sisi tunao taka kujikomboa tunaonekana wajinga lakini kuanzia tarehe 01/09/2015 WATATUELEWA kwanini tulikuwa tunalilia ukombozi.

TANZANIA REVENUE AUTHORITY wame Introduced kodi mpya inayo julikana kama RAILWAY LEVY,hii kodi inatakiwa ilipwe pindi tu mzigo/meli inapoingia KOJ.Kodi hiyo inakatwa 1.5% ya mzigo na mwisho wa siku mwananchi ndio anae teseka tujiandae kwa bei mpya ya mafuta.

Swali linakuja kwenu wa ndugu hivi mnadhani hayo ndiyo maisha bora kila mtanzania? Je kwanini tusitake ukombozi mpya wa kuepukana na madhira haya mnayo tutesea?

YOTE KWA YOTE NGINJA NGINJA HADI BAHARINI TUNAZAMA WOTE WANA CCM NA WAPUMBAVU.

25/10/215,ASUBUHI NA MAPEMA TWENDENI TUKAFANYE MAAMUZI MAGUMU.

URAIS:EDWARD NGOYAI LOWASA
UBUNGE SEGEREA:JULIUS MTATIRO,
WABUNGE MIKOANI:WANAO WAKILISHA UKAWA KUPITIA,CHADEMA,CUF,NCCR MAGEUZI,NLD.

Asante sana kwa ushauri wako mzuuuri sana. Ukombozi kwa watu unaotaka tuwape kura haupo kabisaaa. Wewe wapigie tu.
 
Hata baba wa taifa alisema serikali dhaifu hawezi kukufanya kodi.Lipa kodi kwa maendeleo ya taifa
 
Back
Top Bottom