Sisi Mara Tumeshapiga Kura kwa Magufuri bila kodi Hakuna serikali
mimi familia yangu majirani na mtaa kura zetu kwa ngoyai
kodi tutalip hata ikiwa nusur mshahara alimrad i nywele nyeupe za nyeree zinarud ikulu
Maajabu.....!!!!!!!!!!
kwahiyo huyo lowasa ataendesha nchi bila kodi........kweli shule muhimu.
HAPA KAZI TU.............MAIGIZO PELEKA UKAWA.
sema wewe na familia yako[/QUO
Familia Chanzo cha Ukoo ukoo jamii. kijiji .kata .wilaya. Mkoa. Taifa
Kweli ukiwa nginja nginja akili unashikiwa,hivi ninyi mnadhani au kwa uelewa wenu kuna mtu anae pinga kodi?mimi si pingi kodi nachopinga angozeko hilo la hiyo 1.5% ita muathili mwananchi wa kawaida.HFO IMEWEKWA VAT unadhani Tanesco umeme watauzaje hali yakuwa wao wananunua mafuta hayo,mwananchi analazimika apandishiwe gharama,Railway levy kwenye mafuta inabidi mafuta yapande bei,kwa mwendo huo unadhani nani anaathilika?kwani hakuna sehemu nyengine ambayo tunaweza ipatia hiyo kodi?madini yanajiendea tu je kodi ingewekwa sawa sawa hapo si ingepunguza maumivu kwa mwananchi.zinduka mtanzania hawana wema hao,jiunge na WAPUMBAVU NA MALOFA katika harakati za kumuondoa mkoloni mweusi ifikapo 25/10/2015.
RAIS:LOWASA.
UBUNGE:MTATIRO SEGEREA
WABUNGE:UKAWA KUPITIA VYAMA VYA CHADEMA,CUF,NCCR,NLD.
Kwa mawazo hayo ata uletewe nan akuongoze kila baada ya miaka mitano utataka ukombolewe tuu... Sasa ulitaka wasikate kodi tafuta nchi ambayo hawakati kodi uhamie manake hapa tz haitawezekana.
Wewe ndiye utakaye mpatia kura yako huyo makofuri,sisi wana wa Mara woote tumeshaamua kumpigia kura mhe lowasa
Mara ipi labda Masai Mara ya Kenya sio hii ya Mwibagi .Kibara, Nyamatare, Buhare , kura kwa Magufurii
Endelea kujidanganya,sisi tupo na wananchi woote wa mkoa wa mara,tumedhamilia kumchagua mhe lowasa na timu yake yoote ya ukawa
Sisi Mara Tumeshapiga Kura kwa Magufuri bila kodi Hakuna serikali
Maiwasuuuuuuu teh teh teh haaaa uuuuuuiiiiiii Mwanawasu Magufuri Wesuu
Hujitambui Kbs,labda Nyie Waisenye Mtampa Pombe Kura Zenu.Siku Ulitambua Hautasema Hv
nchi isiyokusanya kodi ni nchi corrupt.... dunia yote watu wanalipa kodi,,, bila kodi serekari itajiendeshaje?
Enyi vibaka na wakwepakodi wa chadema...Corruption mwisho mwaka huu...mnadhani hizo ruzuku zinatokana na nini?
Kwa mawazo hayo ata uletewe nan akuongoze kila baada ya miaka mitano utataka ukombolewe tuu... Sasa ulitaka wasikate kodi tafuta nchi ambayo hawakati kodi uhamie manake hapa tz haitawezekana.