Kuntah Kinte
Senior Member
- Oct 25, 2013
- 133
- 49
Ndugu Wana jamvi,wakati tukiendelea kuuguza jeraha la upumbavu,leo nimethibitisha kweli ilikuwa haki yetu kuitwa wapumbavu maana madhara yanayo kuja yana tuhusu sote.sasa sisi tunao taka kujikomboa tunaonekana wajinga lakini kuanzia tarehe 01/09/2015 WATATUELEWA kwanini tulikuwa tunalilia ukombozi.
TANZANIA REVENUE AUTHORITY wame Introduced kodi mpya inayo julikana kama RAILWAY LEVY,hii kodi inatakiwa ilipwe pindi tu mzigo/meli inapoingia KOJ.Kodi hiyo inakatwa 1.5% ya mzigo na mwisho wa siku mwananchi ndio anae teseka tujiandae kwa bei mpya ya mafuta.
Swali linakuja kwenu wa ndugu hivi mnadhani hayo ndiyo maisha bora kila mtanzania? Je kwanini tusitake ukombozi mpya wa kuepukana na madhira haya mnayo tutesea?
YOTE KWA YOTE NGINJA NGINJA HADI BAHARINI TUNAZAMA WOTE WANA CCM NA WAPUMBAVU.
25/10/215,ASUBUHI NA MAPEMA TWENDENI TUKAFANYE MAAMUZI MAGUMU.
URAIS:EDWARD NGOYAI LOWASA
UBUNGE SEGEREA:JULIUS MTATIRO,
WABUNGE MIKOANI:WANAO WAKILISHA UKAWA KUPITIA,CHADEMA,CUF,NCCR MAGEUZI,NLD.
TANZANIA REVENUE AUTHORITY wame Introduced kodi mpya inayo julikana kama RAILWAY LEVY,hii kodi inatakiwa ilipwe pindi tu mzigo/meli inapoingia KOJ.Kodi hiyo inakatwa 1.5% ya mzigo na mwisho wa siku mwananchi ndio anae teseka tujiandae kwa bei mpya ya mafuta.
Swali linakuja kwenu wa ndugu hivi mnadhani hayo ndiyo maisha bora kila mtanzania? Je kwanini tusitake ukombozi mpya wa kuepukana na madhira haya mnayo tutesea?
YOTE KWA YOTE NGINJA NGINJA HADI BAHARINI TUNAZAMA WOTE WANA CCM NA WAPUMBAVU.
25/10/215,ASUBUHI NA MAPEMA TWENDENI TUKAFANYE MAAMUZI MAGUMU.
URAIS:EDWARD NGOYAI LOWASA
UBUNGE SEGEREA:JULIUS MTATIRO,
WABUNGE MIKOANI:WANAO WAKILISHA UKAWA KUPITIA,CHADEMA,CUF,NCCR MAGEUZI,NLD.