Hii nchi ya viwanda na Kipanya

Hii nchi ya viwanda na Kipanya

hakuna mwekezaji makini atayejuja kuwekeza multi-billion company kwa nchi inayokanyaga demokrasia na kila siku inakuja na sera mpya i.e hakuna dira yani rais akilala na kuamka anatangaza kufunga viwanda hivi au vile utadhani amajenga yeye na familia yake au ni shamba la bangi pasina kujua msitakabali wa watanzania waliajiliwa hapo!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni changamoto ambayo inakabilika...

Hao wachina, waturuki, wahindi n.k wanategemea soko tu la Tanzania lakini viwanda vyao vipo huko kwao...

Serikali kama dhamira yake ni wazawa kujenga viwanda basi bila shaka miaka 10 ijayo hali hii itapinduka na hayo maduka yatajaa mali za Tanzania...
Kweli, huwezi kuangalia hizi bidhaa zilizopo sokoni sasa ukasema sera imefeli, miaka 10 at least
Ila the funny thing ni kuwa bidhaa hizo zikitengenezwa hapa watakaomiliki na watakaokuwa wanafanya kazi itakuwa ni wenye asili ya nje
Tanzania hawana mitaji wala utaalamu wa kumiliki na kuendesha competitevely viwanda kama hivyo ndani ya miaka 10
 
Miaka kadhaa huko nyuma Tanzania iliwahi kuwa powehouse wa viwanda angalu katika Afrika...

Pengine ninyi ni watanzania .com au mnafikiri kisiasa zaidi...
Miaka ya nyuma!....vizuri sana leo veeepeeeee?

In God we trust
 
Ni changamoto ambayo inakabilika...

Hao wachina, waturuki, wahindi n.k wanategemea soko tu la Tanzania lakini viwanda vyao vipo huko kwao...

Serikali kama dhamira yake ni wazawa kujenga viwanda basi bila shaka miaka 10 ijayo hali hii itapinduka na hayo maduka yatajaa mali za Tanzania...
Kwa serikali hii?

sent from my BlackBerry keyone using JamiiForums mobile app
 
Mimi sina maneno mengi wadau maana kupitia kibonzo cha Kipanya kwa mwenye uelewa ataelewa
795ce0b42da2250b3b101e9081d20b1a.jpg


In God we trust
Mwambieni kipanya sisi tunazo tomato na chili sauce
 
Back
Top Bottom