Hii nchi ya viwanda na Kipanya

Hii nchi ya viwanda na Kipanya

Mmawia

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
122,521
Reaction score
96,267
Mimi sina maneno mengi wadau maana kupitia kibonzo cha Kipanya kwa mwenye uelewa ataelewa
795ce0b42da2250b3b101e9081d20b1a.jpg


In God we trust
 
Ni changamoto ambayo inakabilika...

Hao wachina, waturuki, wahindi n.k wanategemea soko tu la Tanzania lakini viwanda vyao vipo huko kwao...

Serikali kama dhamira yake ni wazawa kujenga viwanda basi bila shaka miaka 10 ijayo hali hii itapinduka na hayo maduka yatajaa mali za Tanzania...
 
Ni changamoto ambayo inakabilika...

Hao wachina, waturuki, wahindi n.k wanategemea soko tu la Tanzania lakini viwanda vyao vipo huko kwao...

Serikali kama dhamira yake ni wazawa kujenga viwanda basi bila shaka miaka 10 ijayo hali hii itapinduka na hayo maduka yatajaa mali za Tanzania...
Kuna watu hawapendi kusikia habari kama hizi wao wanataka kila mtu alalamike tu na nchi izidi kwenda mrama ili wazidi kulalamika.
 
Ni changamoto ambayo inakabilika...

Hao wachina, waturuki, wahindi n.k wanategemea soko tu la Tanzania lakini viwanda vyao vipo huko kwao...

Serikali kama dhamira yake ni wazawa kujenga viwanda basi bila shaka miaka 10 ijayo hali hii itapinduka na hayo maduka yatajaa mali za Tanzania...
Una elimu gani Mkuu??
Unafahamu gharama ya kujenga kiwanda??
Au wewe ni wale wa Cherehani 4??
Unajua ushindani wa soko?? Unafikiri ukishajenga tu kiwanda basi hizo bidhaa unazozalisha zitaingia sokoni na kuziondoa bidhaa za nje??
 
Kwani ninyi hamuelewi tu..
mtu ukishakuwa na vyerehani vinne hapo tayari una kiwanda atiii.....

Kiwanda si lazima uwe na yale mamitambo makubwa makubwa kama yanayoonekana kule Wazo Hill cement atii...
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Una elimu gani Mkuu??
Unafahamu gharama ya kujenga kiwanda??
Au wewe ni wale wa Cherehani 4??
Unajua ushindani wa soko?? Unafikiri ukishajenga tu kiwanda basi hizo bidhaa unazozalisha zitaingia sokoni na kuziondoa bidhaa za nje??
Sidhani kama huu ni uzi maalumu wa kuweka wazi au kujua kiwango cha elimu baina yetu...

Soma hoja, unga mkono au leta ukinzani kwa hoja mbadala kulingana na ujumbe katika picha ya KP...

Majibu ya maswali yako yote hayo yanajibiwa na umadhubuti wa sera ya uchumi wa viwanda...

Sera za nchi inayotaka kujenga uchumi wa viwanda haitekelezeki kama wananchi hawatoshirikishwa na mifumo ya chini kabisa kujengwa...

Suala la viwanda linahitaji kwanza ukuaji au uboreshaji wa sekta mbalimbali kama elimu, kilimo, usafiri na miundombinu, nishati n.k (Uwepo wa nguvukazi).

Mathalani, utiliwaji mkazo wa elimu za ufundi na zile za utafiti katika vyuo vya ufundi stadi au elimu za juu. Hii ni moja ya hatua ya muhimu ya awali kabisa mfano nchi kama China walianzia hapo.

Hitimisho, ujengwaji wa viwanda unapaswa kuwa ni hatua ya mwisho kabisa baada ya misingi awali kujengwa.
 
Ni changamoto ambayo inakabilika...

Hao wachina, waturuki, wahindi n.k wanategemea soko tu la Tanzania lakini viwanda vyao vipo huko kwao...

Serikali kama dhamira yake ni wazawa kujenga viwanda basi bila shaka miaka 10 ijayo hali hii itapinduka na hayo maduka yatajaa mali za Tanzania...
Ndoto

In God we trust
 
Kuna watu hawapendi kusikia habari kama hizi wao wanataka kila mtu alalamike tu na nchi izidi kwenda mrama ili wazidi kulalamika.
Kama wewe unavyo lalamika

In God we trust
 
Una elimu gani Mkuu??
Unafahamu gharama ya kujenga kiwanda??
Au wewe ni wale wa Cherehani 4??
Unajua ushindani wa soko?? Unafikiri ukishajenga tu kiwanda basi hizo bidhaa unazozalisha zitaingia sokoni na kuziondoa bidhaa za nje??
Anafikiri atatumia amri kwa wateja

In God we trust
 
Back
Top Bottom